Vigogo wajisalimisha kwa Rais Magufuli
*Ni wa makampuni yaliyochota Sh bil 300 za CIS
*Zitto kabwe aibuka, aanika madudu ya Hazina
SHABANI MATUTU NA FLORIAN MASINDE
SIKU moja baada ya Serikali kuzitaka kampuni 980 zinazodaiwa fedha zilizotolewa na wahisani chini ya Mpango Maalumu wa Kuagiza Bidhaa na Malighafi kutoka Nje (CIS), baadhi ya vigogo wameanza kujisalimisha kwa Serikali ya Rais John Magufuli.
Hatua hiyo imetokana na mpango wa Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango, kuwataka wafanyabiashara wakubwa waliochota...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLDK MAGUFULI KUWANYANG'ANYA VIGOGO ARDHI WALIYOJILIMBIKIZIA NA KUIGAWA KWA WANANCHI
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Boko Haramu wajisalimisha kwa IS.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ys5PabB9MgI/XuS2A-r0FjI/AAAAAAACNKY/j3GEJ6WjTK8hNAhokKx1YwCpzXGihDipQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200613_135908.jpg)
RAIS MAGUFULI AZUNGUMZA KWA SIMU NA RAIS MTEULE WA BURUNDI, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-ys5PabB9MgI/XuS2A-r0FjI/AAAAAAACNKY/j3GEJ6WjTK8hNAhokKx1YwCpzXGihDipQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200613_135908.jpg)
Rais Dk. John Magufuli amezungumza kwa njia ya simu na Rais Mteule wa Jamhuri ya Burundi Evariste Ndayishimiye na kumpongeza kwa uamuzi wa Mahakama ya Katiba nchini Burundi iliyoagiza Rais Mteule aapishwe haraka.
Katika mazungumzo hayo, Rais Magufuli amemtakia heri Rais Mteule Ndayishimiye kuelekea kuapishwa kwake kuwa Rais wa Burundi kutakakofanyika hivi karibuni.
Rais Magufuli amemhakikishia Rais Mteule Ndayishimiye kuwa Tanzania itaendeleza na kukuza...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi kwa Rais Kikwete
![](http://2.bp.blogspot.com/-H6t8dYNzzeg/VnUtYzlpWLI/AAAAAAAAr-o/t2bVljV5Brw/s1600/tmp_3597-Jakaya_Kikwete_2011_%2528cropped%252996447027.jpg)
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India. Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi Rais Kikwete kwa kufiwa na Dada yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India.
Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na mtu muhimu kwa familia."Kwa masikitiko makubwa nakupa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mBQb_JUQax0/XmJ3wL833wI/AAAAAAACIP0/p96Stivh4tUc44oiPKApfGVLDxkYaZhJwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
PROF. KABUDI AWASILISHA UJUMBE MAALUM WA RAIS MAGUFULI KWA RAIS DONALD TRUMP WA MAREKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-mBQb_JUQax0/XmJ3wL833wI/AAAAAAACIP0/p96Stivh4tUc44oiPKApfGVLDxkYaZhJwCLcBGAsYHQ/s320/2.jpg)
Washington, MarekaniTanzania na Benki ya Dunia zimekubaliana kuendelea kushirikiana katika masuala mbalimbali ikiwemo elimu,uendelezaji wa miundo mbinu na masuala ya kijamii kupitia mikopo,ruzuku na misaada inayotolewa na benki hiyo ili...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s72-c/zzz.png)
Rais wa Ireland Mhe. Michael D. Higgins ampongeza Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s640/zzz.png)
SALAMU ZA PONGEZI
Rais wa Ireland, Mheshimiwa Michael D. Higgins amemtumia Salamu za Pongezi Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika Salamu zake hizo, Rais Higgins amesema Ireland na Tanzania zimekuwa na uhusiano mzuri na wa kirafiki kwa miaka mingi, hivyo ana matarajio kwamba katika kipindi cha uongozi wa Rais Magufuli, uhusiano huo utaimarishwa zaidi.
“Ireland na Tanzania zimekuwa na mipango ya maendeleo na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5L-bg763PD4/VkMn3LX0G_I/AAAAAAAIFUQ/uyQk7U5Jlkg/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANANIA,JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...