KAMANDA MKUU WA BOKO HARAMU AUAWA, NGOME YAO YASAMBALATISHWA
![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulkfzQZURzKSu9bNEmgM8aDXkw05KQ5NuzrRKYv3b95jC3em-5AqYnGP9RN6ze2zC1NwYJTbk2*3p6yRaJyLqYl-/Meja.jpg?width=650)
Meja Jenerali Chris Olukolade. Msemaji wa jeshi la Nigeria amesema kuwa, vikosi vya nchi hiyo vimemuua kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram. Meja Jenerali Chris Olukolade amesema kuwa, Abu Mojahid kamanda wa ngazi za juu wa kundi la Boko Haram ameuawa katika mapigano kati ya jeshi la Nigeria na wapiganaji wa kundi hilo kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Msemaji wa jeshi la Nigeria ameongeza kuwa,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Kamanda mkuu wa Taliban auawa Pakistan
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Kamanda CHADEMA auawa
KATIBU wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) Kata ya Runazi, Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Oliva Evodius, ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana. Kifo...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-luT6EVNGZyA/VkdDdWV6IZI/AAAAAAAAXGk/epglqPUXwzg/s72-c/images.png)
KAMANDA ALPHONSE MAWAZO AUAWA
9 years ago
BBCSwahili20 Dec
Kamanda wa Hezbollah, auawa Damascus
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Kamanda wa DRC auawa vitani Kivu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Tfrb5vGqUKhinFDYYX1mMEG9v1-hc4unlW9XjZOjQhiEDs7Ct1pBG7EgDbkSLE4GthQkmXhqYJLETSFxlnLckZ/MokhtarBelmokhtar.jpg?width=650)
KAMANDA WA NGAZI YA JUU WA AL QAEDA AUAWA LIBYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlSJzmt0fT9mEGM2CV-DKtxRUsqj5EHVqym2dvMkzGd2db5O-9n6XDYHAabUzb6t-jie5pWm5rPSUO5zzUYk2HO9/130814210706cameroonpresidentpaulbiyastorytop.jpg)
MATEKA 27 WAACHIWA NA BOKO HARAMU
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Boko Haramu wajisalimisha kwa IS.
11 years ago
Michuzi07 Mar