KAMANDA ALPHONSE MAWAZO AUAWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-luT6EVNGZyA/VkdDdWV6IZI/AAAAAAAAXGk/epglqPUXwzg/s72-c/images.png)
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita ameuawa kwa kupigwa mapanga na watu wasiojulikana na kusababisha kufariki duniani. TUTAWALETEA TAARIFA ZAIDI KADIRI TUTAKAVYOPATA.
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-yXJqfF5vxgk/Vln25cvZOHI/AAAAAAAAXSk/UjvpsXUKb_k/s72-c/FB_IMG_1448735001893.jpg)
HATIMAYE MWILI WA ALPHONSE MAWAZO WAAGWA MWANZA
Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe akipita mbele ya jeneza la Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema wa Mkoa wa Geita Ndugu Alphonse Mawazo.
Mke wa Marehemu Alphonse Mawazo na mtoto wake Precious Mawazo wakimsikiliza Mchungaji aliyekuwa akiendesha misa ya kumuombea marehemu Alphonse Mawazo
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-ofacbSIeHa8/Vlz-2QOe-8I/AAAAAAAAXWM/W2NjKeXc1CM/s72-c/FB_IMG_1448933687746.jpg)
HATIMAYE ALPHONSE MAWAZO AZIKWA KIJIJINI KWAO GEITA
Mheshimiwa Edward Lowassa na Mheshimiwa Freeman Mbowe wakiwa kijijini alipozaliwa Alphonse Mawazo ambapo shughuli za mazishi zimefanyika.
Mke wa Alphonse Mawazo akishriki mazishi ya mumewe yaliyofanyika Kijijini kwao Mkoani Geita.
Mtoto wa Alphonse Mawazo Preciuos Mawazo akionekana mwenye sura ya huzuni wakati wa mazishi ya Marehemu baba yake.
Precious Mawazo akibusu mwili wa marehemu
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-TBROLXrsvxU/VlznP7mQnXI/AAAAAAAAXVE/NeTFKbLRwhc/s72-c/12313746_418058061720131_2182243410750664304_n.jpg)
MAMIA YA WAKAZI WA BUSANDA WAJITOKEZA KUAGA MWILI WA ALPHONSE MAWAZO
Mgombea urais wa UKAWA kupitia Chadema Mh Edward Lowassa akiwa na Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe wakiangalia mahali ambapo Alphonse Mawazo aliuawa.
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://img.youtube.com/vi/lkZykkHf23Q/default.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-GakCDLVpI8c/VlCFtDsnI9I/AAAAAAAAXKM/fuSfDOx-E2I/s72-c/FB_IMG_1448116123927.jpg)
JESHI LA POLISI LAPIGA MARUFUKU SHUGHULI ZA KUAGA MWILI WA ALPHONSE MAWAZO
Viongozi wa Chadema wakijadiliana baada ya Jeshi la Polisi kupiga marufuku shughuli za kuaga mwili wa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita Ndugu Alphonse Mawazo, zilizokuwa zifanyike Jijini Mwanza.Â
Pichani baadhi ya vijana walioshiriki kuchimba kaburi la marehemu Alphonse Mawazo anayetarajia kuzikwa kijijini kwao alipozaliwa Mkoani Geita.
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/--6X1aAjxjag/VleFURTD9VI/AAAAAAAAXSE/_FLBoaOTXEw/s72-c/WANANCHI-NA-MBOWE-620x308.jpg)
CHADEMA WASHINDA PINGAMIZI LILILOWEKWA NA RPC MWANZA KUHUSU MAZISHI YA ALPHONSE MAWAZO
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akizungumza na wananchi waliojitokeza nje ya mahamaka juu hatma ya kesi ya Alphonce Mawazo. Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, Lameck Mlacha, ametupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na RPC wa Mwanza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi ya kesi iliyofunguliwa jana na familia ya Marehemu Alphonce mawazo kuomba tafsri ya mahakama baada ya jeshi la
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-MPkHe1xMzSY/VkelXV4eL2I/AAAAAAAAXHY/D55vXMI9AIk/s72-c/MAWAZO1-page-001.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YAtBRN9Rqbg/Vklb9yKD1FI/AAAAAAAIGFw/m8d36HDQ1Ps/s72-c/download.png)
Salamu za Rambi rambi kufuatia Kifo cha mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita Ndugu Alphonse mawazo
![](http://1.bp.blogspot.com/-YAtBRN9Rqbg/Vklb9yKD1FI/AAAAAAAIGFw/m8d36HDQ1Ps/s1600/download.png)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-b4RdmlEv1_s/VlCAf2EcguI/AAAAAAAAXJ8/DOJw-tibZ8I/s72-c/maxresdefault.jpg)
Viongozi wakuu wa UKAWA, Wabunge wawasili kumuaga Kamanda Mawazo
Wakati wapenzi, wafuasi, wanachama, viongozi na wananchi wa maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa na wengine wengi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi kwa ujumla, wakijiandaa kutoa heshima za mwisho kwa Kamanda Alphonce Mawazo aliyeuwawa kikatili mwishoni mwa juma lililopita akiwa anatekeleza majukumu yake ya kisiasa kama Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, tayari viongozi waandamizi wa chama na
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania