Viongozi wakuu wa UKAWA, Wabunge wawasili kumuaga Kamanda Mawazo
![](http://1.bp.blogspot.com/-b4RdmlEv1_s/VlCAf2EcguI/AAAAAAAAXJ8/DOJw-tibZ8I/s72-c/maxresdefault.jpg)
Wakati wapenzi, wafuasi, wanachama, viongozi na wananchi wa maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa na wengine wengi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi kwa ujumla, wakijiandaa kutoa heshima za mwisho kwa Kamanda Alphonce Mawazo aliyeuwawa kikatili mwishoni mwa juma lililopita akiwa anatekeleza majukumu yake ya kisiasa kama Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, tayari viongozi waandamizi wa chama na
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Ukawa kumuaga Mawazo kwa saa tano
* Wapigwa marufuku kula, kunywa wakati wa kuaga
*Lowassa, Mbowe na Sumaye kuongoza waombolezaji
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilemela imetoa saa tano kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutumia Uwanja wa Furahisha kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Alphonce Mawazo, kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.
Akitoa ratiba mpya ya kuaga mwili wa Mawazo, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Geita mjini hapa jana, Kaimu...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Korti: Wafuasi ruksa kumuaga Mawazo
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-luT6EVNGZyA/VkdDdWV6IZI/AAAAAAAAXGk/epglqPUXwzg/s72-c/images.png)
KAMANDA ALPHONSE MAWAZO AUAWA
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-06DrAZ7Zh_0/VleH1S5hp7I/AAAAAAAAXSQ/rGCIfeLX6Z8/s72-c/maxresdefault.jpg)
Ratiba ya shughuli ya utoaji heshima za mwisho na mazishi ya Kamanda Mawazo
10 years ago
Vijimambo26 Mar
MARAIS WAWASILI KUHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI WA UKANDA WA KATI WA UWEKEZAJI NA VIWANDA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVEhx6*neXvxQuonB3hCnK5euPgiB7t3B85S9hpWMlLkkSu11ZEO8fSnX6tzjVLsE0kxfFeLZLaZBLmv72BUbBWn/MWILIWAKOMBA3.jpg?width=650)
VIONGOZI WAONGOZA KUMUAGA MAREHEMU KOMBA KARIMJEE
11 years ago
MichuziVIONGOZI WA DINI WAWASILI KUTOKA NCHINI THAILAND
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-Cz_jr6rEhnI/VlECqdV5poI/AAAAAAAAXLQ/a-D-3iSnQ6U/s72-c/Picha_no_7-620x308.jpg)
Ukawa kuchanga Mil 33.9 kusaidia familia ya Mawazo