Ukawa kumuaga Mawazo kwa saa tano
* Wapigwa marufuku kula, kunywa wakati wa kuaga
*Lowassa, Mbowe na Sumaye kuongoza waombolezaji
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilemela imetoa saa tano kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutumia Uwanja wa Furahisha kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Alphonce Mawazo, kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.
Akitoa ratiba mpya ya kuaga mwili wa Mawazo, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Geita mjini hapa jana, Kaimu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-b4RdmlEv1_s/VlCAf2EcguI/AAAAAAAAXJ8/DOJw-tibZ8I/s72-c/maxresdefault.jpg)
Viongozi wakuu wa UKAWA, Wabunge wawasili kumuaga Kamanda Mawazo
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Mawazo kuagwa kwa saa nne jijini Mwanza
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Korti: Wafuasi ruksa kumuaga Mawazo
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-N0m_D6J7prw/VQKkB1ff8fI/AAAAAAAAB-k/ud4_uTDBtxE/s72-c/Slaa2(13).jpg)
Slaa abanwa kwa saa tano
Ni unyama aliofanyiwa Kagenzi na madai ya kutaka kudhuriwa
NA MWANDISHI WETU
![](http://4.bp.blogspot.com/-N0m_D6J7prw/VQKkB1ff8fI/AAAAAAAAB-k/ud4_uTDBtxE/s1600/Slaa2(13).jpg)
Hivi karibuni, Dk. Slaa kupitia kwa mmoja wa viongozi wa CHADEMA, Mabere Marando, alidai kuwepo kwa mpango wa kumdhuru, ambao unaratibiwa na maofisa usalama kwa kushirikiana na baadhi ya...
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Biashara Mwanza zasimama saa tano
MSUGUANO kati ya Wafanyabiara wadogo (Machinga), na Polisi mkoani Mwanza umezidi baada ya jana shughuli za biashara kusimama zaidi ya saa tano. Sakata hilo lililoanza kufukuta majira ya saa sita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BUNGE KUENDELEA LEO SAA TANO ASUBUHI
9 years ago
Vijimambo02 Sep
Kigogo wa Chadema ahojiwa polisi saa tano.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Komu-2Sept2015.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro limemshikilia na kumhoji kwa zaidi ya saa tano mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa chama hicho, Anthony Komu (pichani), kwa madai ya kumtisha kwa bastola Katibu wa chama hicho mkoani hapa, Basil Lema.
Hata hivyo, baada ya kuhojiwa jeshi hilo lilimwachia huru Komu na kisha kulifuta jalada la...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-Cz_jr6rEhnI/VlECqdV5poI/AAAAAAAAXLQ/a-D-3iSnQ6U/s72-c/Picha_no_7-620x308.jpg)
Ukawa kuchanga Mil 33.9 kusaidia familia ya Mawazo
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-mTXT0xOhci8/VGDfO4miksI/AAAAAAAARaM/pTxVsGEMjPQ/s72-c/blogger-image-91157457.jpg)
MWISHO WA TICKET ZA BEI NAFUU YA $75 LEO USIKU SAA TANO @11:59 PM
![](https://lh6.googleusercontent.com/-mTXT0xOhci8/VGDfO4miksI/AAAAAAAARaM/pTxVsGEMjPQ/s640/blogger-image-91157457.jpg)