Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigogo wa Chadema ahojiwa polisi saa tano.

Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa chama hicho, Anthony Komu.
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro limemshikilia na kumhoji kwa zaidi ya saa tano mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa chama hicho, Anthony Komu (pichani), kwa madai ya kumtisha kwa bastola Katibu wa chama hicho mkoani hapa, Basil Lema.

Hata hivyo, baada ya kuhojiwa jeshi hilo lilimwachia huru Komu na kisha kulifuta jalada la...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Dk. Slaa ahojiwa kwa saa sita Polisi

Aziza Masoud na Asifiwe George, Dar es Salaam

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam jana lilimuhoji Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.Willibrod Slaa, kwa zaidi ya saa sita kuhusiana na tuhuma za mauaji dhidi yake.
Hilo limetokea siku moja baada ya mlinzi binafsi wa Dk. Slaa, Khalid Kagenzi, kueleza jinsi alivyoteswa na walinzi wa Chadema na hata kumuhusisha na tishio la mauaji ya kiongozi huyo.
Dk.Slaa alihojiwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es...

 

10 years ago

Vijimambo

Mke wa Slaa ahojiwa polisi kwa saa tatu.

Dk. Willibrod Slaa na mke wake Josephine Mushumbusi.
Mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, jana alitoa ushahidi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam, kuhusiana na tuhuma zinazomkabili Khalid Kagenzi, za kutaka kumdhuru mumewe.

Kutokana na hatua hiyo ya Mushumbusi, Dk. Slaa alisema tayari wamefunga ushahidi kwa upande wake. Mushumbusi ambaye aliongozana na mumewe, Dk. Slaa walifika katika kituo hicho saa 4:00...

 

10 years ago

GPL

KIGOGO MAMLAKA YA USALAMA USAFIRI WA ANGA AHOJIWA (TCIA)

Mwenyekiti wa Tume ya Maadili  Jaji Mstaafu, Hamis Msumi (katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wenzake. Dr. James Benedict akipangua hoja zilizotolewa na watu wa tume(hawapo pichani).…

 

11 years ago

Mwananchi

Masogange ahojiwa ‘airport’ zaidi ya saa 10

>Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhuma za kukamatwa na dawa aina ya crystal methamphetamine huko Afrika Kusini, Julai mwaka jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Aliyetumikishwa China ahojiwa Interpol saa 11

Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol), Tawi la Tanzania, limemhoji kwa saa kumi na moja binti aliyerubuniwa na kupelekwa China ambako kwa miezi mitatu alikuwa akitumikishwa kwenye madanguro nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Nahodha wa Kilimanjaro II ahojiwa polisi Zanzibar

 Wakati watu saba wakiwa bado hawajaonekana baada ya boti ya Kilimanjaro II, kupata ajali na abiria kuzama baharini, nahodha wa chombo hicho alitoa taarifa za uongo kuhusu ajali hiyo imefahamika.

 

10 years ago

Mwananchi

Muuguzi anayedaiwa kutekwa wiki iliyopita apatikana, ahojiwa na polisi

Dar es Salaam. Muuguzi wa Hospitali ya Mwananyamala, Pili Amiri aliyetekwa Machi 12, amepatikana usiku wa kuamkia jana baada ya watekaji hao kudaiwa kumtupa katika pori moja lililoko Dar es Salaam.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Slaa abanwa kwa saa tano



Ni unyama aliofanyiwa Kagenzi na madai ya kutaka kudhuriwa
NA MWANDISHI WETU
SAKATA la kushambuliwa kwa aliyekuwa mlinzi wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa, Khaild Kangezi, limechukua sura mpya baada ya kiongozi huyo kufika katika kituo kikuu cha polisi na kuandika maelezo kwa takriban saa tano.
Hivi karibuni,  Dk. Slaa kupitia kwa mmoja wa viongozi wa CHADEMA, Mabere Marando, alidai kuwepo kwa mpango wa kumdhuru, ambao unaratibiwa na maofisa usalama kwa kushirikiana na baadhi ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Biashara Mwanza zasimama saa tano

MSUGUANO kati ya Wafanyabiara wadogo (Machinga), na Polisi mkoani Mwanza umezidi baada ya jana shughuli za biashara kusimama zaidi ya saa tano. Sakata hilo lililoanza kufukuta majira ya saa sita...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani