Muuguzi anayedaiwa kutekwa wiki iliyopita apatikana, ahojiwa na polisi
Dar es Salaam. Muuguzi wa Hospitali ya Mwananyamala, Pili Amiri aliyetekwa Machi 12, amepatikana usiku wa kuamkia jana baada ya watekaji hao kudaiwa kumtupa katika pori moja lililoko Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 May
Apatikana miaka 10 baada kutekwa nyara
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/y3CbjI-v7zA/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Polisi yathibitisha mgombea ubunge wa ACT kutekwa
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Nahodha wa Kilimanjaro II ahojiwa polisi Zanzibar
9 years ago
Vijimambo02 Sep
Kigogo wa Chadema ahojiwa polisi saa tano.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Komu-2Sept2015.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro limemshikilia na kumhoji kwa zaidi ya saa tano mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa chama hicho, Anthony Komu (pichani), kwa madai ya kumtisha kwa bastola Katibu wa chama hicho mkoani hapa, Basil Lema.
Hata hivyo, baada ya kuhojiwa jeshi hilo lilimwachia huru Komu na kisha kulifuta jalada la...
10 years ago
Mtanzania13 Mar
Dk. Slaa ahojiwa kwa saa sita Polisi
Aziza Masoud na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam jana lilimuhoji Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.Willibrod Slaa, kwa zaidi ya saa sita kuhusiana na tuhuma za mauaji dhidi yake.
Hilo limetokea siku moja baada ya mlinzi binafsi wa Dk. Slaa, Khalid Kagenzi, kueleza jinsi alivyoteswa na walinzi wa Chadema na hata kumuhusisha na tishio la mauaji ya kiongozi huyo.
Dk.Slaa alihojiwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es...
10 years ago
Vijimambo31 Mar
Mke wa Slaa ahojiwa polisi kwa saa tatu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Dr%20Slaa%20na%20Mkewe-31March2015.jpg)
Mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, jana alitoa ushahidi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam, kuhusiana na tuhuma zinazomkabili Khalid Kagenzi, za kutaka kumdhuru mumewe.
Kutokana na hatua hiyo ya Mushumbusi, Dk. Slaa alisema tayari wamefunga ushahidi kwa upande wake. Mushumbusi ambaye aliongozana na mumewe, Dk. Slaa walifika katika kituo hicho saa 4:00...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6a*gQcMv6WfEz7GRG-6YJehp8OLI3i1WIgrVOpUDgeQoG-Z6UOq*ASlVvh6Y-C3UW36PqOb3PK*4uiNbS*hoFe*/FRONTWIKIENDA.jpg?width=650)
POLISI WA KIKE ANAYEDAIWA KUIBA MTOTO, HUYU HAPA!
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Polisi apatikana na hatia ya ubakaji Oklahoma