Nahodha wa Kilimanjaro II ahojiwa polisi Zanzibar
 Wakati watu saba wakiwa bado hawajaonekana baada ya boti ya Kilimanjaro II, kupata ajali na abiria kuzama baharini, nahodha wa chombo hicho alitoa taarifa za uongo kuhusu ajali hiyo imefahamika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania13 Mar
Dk. Slaa ahojiwa kwa saa sita Polisi
Aziza Masoud na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam jana lilimuhoji Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.Willibrod Slaa, kwa zaidi ya saa sita kuhusiana na tuhuma za mauaji dhidi yake.
Hilo limetokea siku moja baada ya mlinzi binafsi wa Dk. Slaa, Khalid Kagenzi, kueleza jinsi alivyoteswa na walinzi wa Chadema na hata kumuhusisha na tishio la mauaji ya kiongozi huyo.
Dk.Slaa alihojiwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es...
9 years ago
Vijimambo02 Sep
Kigogo wa Chadema ahojiwa polisi saa tano.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Komu-2Sept2015.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro limemshikilia na kumhoji kwa zaidi ya saa tano mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa chama hicho, Anthony Komu (pichani), kwa madai ya kumtisha kwa bastola Katibu wa chama hicho mkoani hapa, Basil Lema.
Hata hivyo, baada ya kuhojiwa jeshi hilo lilimwachia huru Komu na kisha kulifuta jalada la...
10 years ago
Vijimambo31 Mar
Mke wa Slaa ahojiwa polisi kwa saa tatu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Dr%20Slaa%20na%20Mkewe-31March2015.jpg)
Mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, jana alitoa ushahidi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam, kuhusiana na tuhuma zinazomkabili Khalid Kagenzi, za kutaka kumdhuru mumewe.
Kutokana na hatua hiyo ya Mushumbusi, Dk. Slaa alisema tayari wamefunga ushahidi kwa upande wake. Mushumbusi ambaye aliongozana na mumewe, Dk. Slaa walifika katika kituo hicho saa 4:00...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Nahodha afunguka Zanzibar
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Muuguzi anayedaiwa kutekwa wiki iliyopita apatikana, ahojiwa na polisi
11 years ago
MichuziKAMANDA BOAZ WA KILIMANJARO ATOA ZAWADI KWA TIMU YA POLISI-KILIMANJARO YA MCHEZO WA KARATE
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s72-c/ccm.jpeg)
SHAMSHI VUAI NAHODHA ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s400/ccm.jpeg)
10 years ago
GPLKAMANDA WA POLISI KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI NCHINI ATEMBELEA GLOBAL, AHOJIWA NA GLOBAL TV ONLINE