Nahodha afunguka Zanzibar
 Wakati Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), ikitimiza miaka minne, Waziri Kiongozi Mstaafu wa awamu ya sita, Shamsi Vuai Nahodha amesema ipo haja ya kuendelea kuwa na umoja huo kwa vile sababu zilizofanya kuundwa kwa Serikali shirikishi ya vyama vya CCM na CUF bado zipo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Nahodha wa Kilimanjaro II ahojiwa polisi Zanzibar
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s72-c/ccm.jpeg)
SHAMSHI VUAI NAHODHA ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s400/ccm.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--Uhzz0vlYDg/Vb4IvaK4KYI/AAAAAAAHtS8/55x7-qxq5Mw/s72-c/8.%2BSHAMSI%2BVUAI%2BNAHODHA.jpg)
MCHAKATO KURA ZA MAONI CCM ZANZIBAR: Vuai Nahodha, Prof. Mnyaa, Dkt. Mwinyi, Saada Mkuya, Dkt. Mwinyihaji Makame, Haji Omari Kheri, waibuka kidedea
![](http://2.bp.blogspot.com/--Uhzz0vlYDg/Vb4IvaK4KYI/AAAAAAAHtS8/55x7-qxq5Mw/s320/8.%2BSHAMSI%2BVUAI%2BNAHODHA.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Afisi ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe. Vuai Ali Vuai, imesema kuwa matokeo ya kinyang’anyiro hicho, yameoonyesha baadhi ya vigogo waliokuwa wakitegemewa kuibuka na ushindi...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Nahodha azomewa bungeni
HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuzima hoja za wapinzani jana nusura ziligharimu Bunge, baada ya Mwenyekiti wa Kamati namba tano ya Bunge Maalumu la Katiba, Shamsi Vuai Nahodha,...
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Nahodha wa Bafanabafana auawa
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Marquez nahodha fainali 4
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Nahodha wa SpringBoks astaafu
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Nahodha Stars aridhishwa kiwango
KIKOSI cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kinatarajiwa kurejea nchini leo jioni huku nahodha wake, Aggrey Morris, akieleza kuridhishwa na kiwango kilichoonyeshwa na wachezaji wote. Nahodha huyo, aliyasema hayo jijini...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Nahodha kriketi Tanzania aomboleza
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/13/150113104022_cricket_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Nahodha wa timu ya taifa ya kriketi Tanzania, Hamis Abdallah amesema pengo la mchezaji wa zamani wa timu hiyo, Enjo Seti( wa nne kutoka kulia katika picha mwenye miwani) aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ugonjwa wa moyo halitazibika.
Seti, kwa mujibu wa watu wa karibu alifariki dunia Ijumaa akiwa matembezini baada ya kuugua ghafla.
"Kwa niaba ya wachezaji wenzagu, tumehuzunishwa na kifo cha mchezaji mwenzetu, tuliyeanza naye kujifunza kriketi katika miaka ya 1990...