Nahodha kriketi Tanzania aomboleza
Timu ya criket ya Tanzania
Nahodha wa timu ya taifa ya kriketi Tanzania, Hamis Abdallah amesema pengo la mchezaji wa zamani wa timu hiyo, Enjo Seti( wa nne kutoka kulia katika picha mwenye miwani) aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ugonjwa wa moyo halitazibika.
Seti, kwa mujibu wa watu wa karibu alifariki dunia Ijumaa akiwa matembezini baada ya kuugua ghafla.
"Kwa niaba ya wachezaji wenzagu, tumehuzunishwa na kifo cha mchezaji mwenzetu, tuliyeanza naye kujifunza kriketi katika miaka ya 1990...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Rais Zuma aomboleza kifo cha nahodha BafanaBafana
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Tanzania mwenyeji mchezo wa kriketi
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Kriketi Vijana:Tanzania,Namibia kuchuana
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Timu ya kriketi ya India yaalikwa Tanzania
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Michuano Kriketi Afrika nchini Tanzania
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Kambi ya Kriketi yaanza leo Tanzania
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kriketi Tanzania yataja kikosi kuivaa Namibia
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Tanzania,Namibia,Uganda zashinda michuano ya kriketi