Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kriketi Tanzania yataja kikosi kuivaa Namibia

Chama cha Kriketi Tanzania kimetaja wachezaji 14 watakachocheza na Namibia kufuzu kombe la Dunia kwa wavulana waliochini ya miaka 19.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi Vijana:Tanzania,Namibia kuchuana

Tanzania itacheza na Namibia katika mechi ya ufunguzi ya Ligi ya Kriketi ya Afrika kwa vijana wa kiume umri chini ya miaka 19

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania,Namibia,Uganda zashinda michuano ya kriketi

Baada ya kuanza vibaya kwa kufungwa na Namibia kwa mikimbio102, wenyeji Tanzania wamefanikiwa kuwafunga Botswana kwa (runs) 47

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yataja kikosi cha tenisi .

Kwa mujibu wa viongozi wa chama cha tennis Tanzania (TTA), ushiriki wao utaleta tija katika maendeleo ya mchezo huo nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yataja kikosi kuikabili Rwanda

Kocha wa timu ya taifa ya soka Tanzania, Mdachi Mart Nooij ametangaza kikosi cha wachezaji 26 kitakachoivaa Rwanda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zambia yataja kikosi cha AFCON 2015

Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Zambia Honor Janza ameteua kikosi kipya ambacho kina jumla ya wachezaji 27 kwa mwaka 2015 .

 

11 years ago

Mwananchi

Simba haijapata kikosi cha kuivaa Yanga

Mechi ya kirafiki ya Nani Mtani Jembe, inamuumiza kichwa Kocha mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic ambaye hadi kufikia jana alikuwa hajapata kikosi kitakachocheza na Yanga kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kikosi cha wachezaji 25 wa Algeria wanaokuja kuivaa Taifa Stars, Novemba 14!

Algeria Team Picture (Top) Hassen Yebda, Madjid Bougherra, Faouzi Chaouchi, Rafik Halliche, Hameur Bouazza, Abdelkader Ghezzal (Bottom) Karim Matmour, Yazid Mansouri, Abdelkader Laifaoui, Nadir Belhadj, Karim Ziani, ©Gavin Barker/Backpagepix

Algeria imetangaza kikosi cha wachezaji 25 wanaokuja Tanzania kwa ajili ya mchezo dhidi ya Taifa Stars wa kutafuta nafasi ya kucheza kombe la dunia Urusi 2018.

Kikosi hicho ni kama ifuatavyo: Walinda mlango: Rais M’Bolhi (Antalyaspor / Uturuki), Azzedine Doukha (JS Kabylie), Malik Asselah (CR Belouizdad).

Viungo: Mehdi Zeffane (Rennes / Ufaransa), Mohamed Khoutir Ziti (JS Kabylie), Faouzi Ghoulam (Napoli / Italia), Djamel Mesbah (Sampdoria / Italia), Carl Medjani (Trabzonspor /...

 

10 years ago

Vijimambo

Nahodha kriketi Tanzania aomboleza


Timu ya criket ya Tanzania


Nahodha wa timu ya taifa ya kriketi Tanzania, Hamis Abdallah amesema pengo la mchezaji wa zamani wa timu hiyo, Enjo Seti( wa nne kutoka kulia katika picha mwenye miwani) aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ugonjwa wa moyo halitazibika.
Seti, kwa mujibu wa watu wa karibu alifariki dunia Ijumaa akiwa matembezini baada ya kuugua ghafla.
"Kwa niaba ya wachezaji wenzagu, tumehuzunishwa na kifo cha mchezaji mwenzetu, tuliyeanza naye kujifunza kriketi katika miaka ya 1990...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria

Tanzania yaifunga Nigeria kwa wiketi 3 katika michuano ya kufuzu kucheza kombe la Dunia kwa kwa wavulana chini ya miaka 19

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani