Kriketi Tanzania yataja kikosi kuivaa Namibia
Chama cha Kriketi Tanzania kimetaja wachezaji 14 watakachocheza na Namibia kufuzu kombe la Dunia kwa wavulana waliochini ya miaka 19.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Kriketi Vijana:Tanzania,Namibia kuchuana
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Tanzania,Namibia,Uganda zashinda michuano ya kriketi
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Tanzania yataja kikosi cha tenisi .
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Tanzania yataja kikosi kuikabili Rwanda
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Zambia yataja kikosi cha AFCON 2015
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Simba haijapata kikosi cha kuivaa Yanga
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
Kikosi cha wachezaji 25 wa Algeria wanaokuja kuivaa Taifa Stars, Novemba 14!
Algeria imetangaza kikosi cha wachezaji 25 wanaokuja Tanzania kwa ajili ya mchezo dhidi ya Taifa Stars wa kutafuta nafasi ya kucheza kombe la dunia Urusi 2018.
Kikosi hicho ni kama ifuatavyo: Walinda mlango: Rais M’Bolhi (Antalyaspor / Uturuki), Azzedine Doukha (JS Kabylie), Malik Asselah (CR Belouizdad).
Viungo: Mehdi Zeffane (Rennes / Ufaransa), Mohamed Khoutir Ziti (JS Kabylie), Faouzi Ghoulam (Napoli / Italia), Djamel Mesbah (Sampdoria / Italia), Carl Medjani (Trabzonspor /...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Nahodha kriketi Tanzania aomboleza
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/13/150113104022_cricket_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Nahodha wa timu ya taifa ya kriketi Tanzania, Hamis Abdallah amesema pengo la mchezaji wa zamani wa timu hiyo, Enjo Seti( wa nne kutoka kulia katika picha mwenye miwani) aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ugonjwa wa moyo halitazibika.
Seti, kwa mujibu wa watu wa karibu alifariki dunia Ijumaa akiwa matembezini baada ya kuugua ghafla.
"Kwa niaba ya wachezaji wenzagu, tumehuzunishwa na kifo cha mchezaji mwenzetu, tuliyeanza naye kujifunza kriketi katika miaka ya 1990...
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria