Kriketi Vijana:Tanzania,Namibia kuchuana
Tanzania itacheza na Namibia katika mechi ya ufunguzi ya Ligi ya Kriketi ya Afrika kwa vijana wa kiume umri chini ya miaka 19
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kriketi Tanzania yataja kikosi kuivaa Namibia
Chama cha Kriketi Tanzania kimetaja wachezaji 14 watakachocheza na Namibia kufuzu kombe la Dunia kwa wavulana waliochini ya miaka 19.
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Tanzania,Namibia,Uganda zashinda michuano ya kriketi
Baada ya kuanza vibaya kwa kufungwa na Namibia kwa mikimbio102, wenyeji Tanzania wamefanikiwa kuwafunga Botswana kwa (runs) 47
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria
Tanzania yaifunga Nigeria kwa wiketi 3 katika michuano ya kufuzu kucheza kombe la Dunia kwa kwa wavulana chini ya miaka 19
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Nahodha kriketi Tanzania aomboleza
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/13/150113104022_cricket_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Nahodha wa timu ya taifa ya kriketi Tanzania, Hamis Abdallah amesema pengo la mchezaji wa zamani wa timu hiyo, Enjo Seti( wa nne kutoka kulia katika picha mwenye miwani) aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ugonjwa wa moyo halitazibika.
Seti, kwa mujibu wa watu wa karibu alifariki dunia Ijumaa akiwa matembezini baada ya kuugua ghafla.
"Kwa niaba ya wachezaji wenzagu, tumehuzunishwa na kifo cha mchezaji mwenzetu, tuliyeanza naye kujifunza kriketi katika miaka ya 1990...
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Tanzania mwenyeji mchezo wa kriketi
Tanzania sasa itakuwa mwenyeji wa michuano ya Afrika ya kriketi daraja la 1 kwa wanaume chini ya miaka 19
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Timu ya kriketi ya India yaalikwa Tanzania
Timu ya kriketi ya wanawake ya India itashiriki michuano ya kombe la wanawake ya T20 itakayochezwa Dar-Es-Salaam February 22.
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Kambi ya Kriketi yaanza leo Tanzania
Timu ya taifa ya Tanzania inaanza kambi leo Dar es Salaam kujiandaa na michuano ya kriketi ya Afrika chini ya miaka 19 daraja la 1 itakayofanyika nchini Namibia mwakani.
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Michuano Kriketi Afrika nchini Tanzania
Michuano ya kriketi ya Afrika kwa wanawake chini ya miaka 19, imeanza kutimua vumbi jijini Dar es salaam Tanzania.
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Nchi nne kuwasili Tanzania kwa Kriketi
Namibia, Nigeria, Botswana, Kenya na Uganda zitawasili Tanzania kwa ajili ya michuano ya kriketi kwa wanaume chini ya miaka 19
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania