Nchi nne kuwasili Tanzania kwa Kriketi
Namibia, Nigeria, Botswana, Kenya na Uganda zitawasili Tanzania kwa ajili ya michuano ya kriketi kwa wanaume chini ya miaka 19
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo19 Mar
JENGO REFU NCHI UKANDA WA MAZIWA MAKUU NA LA NNE KWA UREFU AFRIKA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wWJjYcdJJ7k/XrzW_nOn7ZI/AAAAAAALqJ0/R_TsHfwBAycfckk63tiZarVBEqG8_O9MwCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252B%252Bkabudi.jpg)
PROF. KABUDI ATAJA SABABU ZA TANZANIA KUTOSHIRIKI MKUTANO WA NCHI NNE NA ULE ULIOTISHWA NA RAIS WA AFRIKA KUSINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wWJjYcdJJ7k/XrzW_nOn7ZI/AAAAAAALqJ0/R_TsHfwBAycfckk63tiZarVBEqG8_O9MwCLcBGAsYHQ/s400/pic%252B%252Bkabudi.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi amefafanua kwa kina sababu za Tanzania kutoshiriki kwenye mikutano ya kikanda ukiwemo mkutano wa Korido ya Kaskazini unaohusisha nchi nne pamoja na mkutano wa SACU uliotishwa na Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa.
Ufafanuzi wa Profesa Kabudi ambao ameutoa leo Mei 13,2020 Bungeni Mjini Dodoma unatokana na kuwepo kwa madai ya baadhi ya watu wasioitakia mema Jumuiya Afrika...
10 years ago
MichuziMaalim Seif afungua mkutano wa kimataifa wa siku nne wa muziki kwa nchi za jahazi, Zanzibar
BOFYA HAPA KWA HABARI...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Nahodha kriketi Tanzania aomboleza
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/13/150113104022_cricket_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Nahodha wa timu ya taifa ya kriketi Tanzania, Hamis Abdallah amesema pengo la mchezaji wa zamani wa timu hiyo, Enjo Seti( wa nne kutoka kulia katika picha mwenye miwani) aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ugonjwa wa moyo halitazibika.
Seti, kwa mujibu wa watu wa karibu alifariki dunia Ijumaa akiwa matembezini baada ya kuugua ghafla.
"Kwa niaba ya wachezaji wenzagu, tumehuzunishwa na kifo cha mchezaji mwenzetu, tuliyeanza naye kujifunza kriketi katika miaka ya 1990...
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Tanzania mwenyeji mchezo wa kriketi
Tanzania sasa itakuwa mwenyeji wa michuano ya Afrika ya kriketi daraja la 1 kwa wanaume chini ya miaka 19
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria
Tanzania yaifunga Nigeria kwa wiketi 3 katika michuano ya kufuzu kucheza kombe la Dunia kwa kwa wavulana chini ya miaka 19
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Michuano Kriketi Afrika nchini Tanzania
Michuano ya kriketi ya Afrika kwa wanawake chini ya miaka 19, imeanza kutimua vumbi jijini Dar es salaam Tanzania.
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Kambi ya Kriketi yaanza leo Tanzania
Timu ya taifa ya Tanzania inaanza kambi leo Dar es Salaam kujiandaa na michuano ya kriketi ya Afrika chini ya miaka 19 daraja la 1 itakayofanyika nchini Namibia mwakani.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Kriketi Vijana:Tanzania,Namibia kuchuana
Tanzania itacheza na Namibia katika mechi ya ufunguzi ya Ligi ya Kriketi ya Afrika kwa vijana wa kiume umri chini ya miaka 19
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania