Kambi ya Kriketi yaanza leo Tanzania
Timu ya taifa ya Tanzania inaanza kambi leo Dar es Salaam kujiandaa na michuano ya kriketi ya Afrika chini ya miaka 19 daraja la 1 itakayofanyika nchini Namibia mwakani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMASHINDANO YA TANZANIA MOVIE TALENTS YAANZA LEO MKOANI MBEYA
11 years ago
GPLMASHINDANO YA TANZANIA MOVIE TALENTS YAANZA LEO MKOANI MBEYA
 Mshiriki wa Tanzania Movie Talents akihojiwa mara baada ya kumaliza usaili katika Shindano la Tanzania Movie Talents linaloendelea muda huu katika Ukumbi wa Benjamin Mkapa uliopo Soko Matola Mkoani Mbeya
 Baadhi ya washiriki waliojitokeza kwaajili ya kuhudhuria usaili wa Shindano la Tanzania Movie Talents wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kwa usaili.…
...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dudN6PbScSQ/U_nPwHd40bI/AAAAAAAGB_A/kp2afhWlV1g/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
KAMATI YA KUWAHOJI WAOMBA HIFADHI (NEC) YAANZA KAZI KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU, KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dudN6PbScSQ/U_nPwHd40bI/AAAAAAAGB_A/kp2afhWlV1g/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
11 years ago
Michuzi20 Mar
MAZUNGUMZO YA USULUHISHI WA MGOGORO WA MPAKA BAINA YA TANZANIA NA MALAWI YAANZA LEO MJINI MAPUTO.
Mazungumzo ya usuluhishi wa mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa yameanza leo Jijini Maputo, Msumbiji kwa kuzikutanisha pande zote mbili za mgogoro huo.
Mazungumzo hayo yaliyopo chini ya Jopo la Usuluhishi linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe. Joachim Chissano akisaidiwa na Mhe. Thabo Mbeki Rais Mstaafu wa Afrika ya Kusini na Mhe. Festus Mogae Rais Mstaafu wa Botswana yaliwapa nafasi pande zote mbili kutoa tamko rasmi kabla ya usuluhishi...
Mazungumzo hayo yaliyopo chini ya Jopo la Usuluhishi linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe. Joachim Chissano akisaidiwa na Mhe. Thabo Mbeki Rais Mstaafu wa Afrika ya Kusini na Mhe. Festus Mogae Rais Mstaafu wa Botswana yaliwapa nafasi pande zote mbili kutoa tamko rasmi kabla ya usuluhishi...
11 years ago
MichuziSAFARI YA MCHUJO KWA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) YAANZA RASMI LEO
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Nahodha kriketi Tanzania aomboleza
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/13/150113104022_cricket_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Nahodha wa timu ya taifa ya kriketi Tanzania, Hamis Abdallah amesema pengo la mchezaji wa zamani wa timu hiyo, Enjo Seti( wa nne kutoka kulia katika picha mwenye miwani) aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ugonjwa wa moyo halitazibika.
Seti, kwa mujibu wa watu wa karibu alifariki dunia Ijumaa akiwa matembezini baada ya kuugua ghafla.
"Kwa niaba ya wachezaji wenzagu, tumehuzunishwa na kifo cha mchezaji mwenzetu, tuliyeanza naye kujifunza kriketi katika miaka ya 1990...
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Tanzania mwenyeji mchezo wa kriketi
Tanzania sasa itakuwa mwenyeji wa michuano ya Afrika ya kriketi daraja la 1 kwa wanaume chini ya miaka 19
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria
Tanzania yaifunga Nigeria kwa wiketi 3 katika michuano ya kufuzu kucheza kombe la Dunia kwa kwa wavulana chini ya miaka 19
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Kriketi Vijana:Tanzania,Namibia kuchuana
Tanzania itacheza na Namibia katika mechi ya ufunguzi ya Ligi ya Kriketi ya Afrika kwa vijana wa kiume umri chini ya miaka 19
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania