SAFARI YA MCHUJO KWA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) YAANZA RASMI LEO
Jukwaa likitengenezwa kwaajili ya Washiriki Wa fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kupanda jukwaani na kuanza kuonyesha vipaji vyao, Onyesho hili ni onyesho la kwanza la kuelekea Kwenye Mchujo wa kumpata mshiriki Mmoja atakayejinyakulia kitita cha Shilingi Milioni 50 katika fainali kubwa itakayofanyika mwishoni mwa Mwezi wa Nane.
Mahost wa Show ya Tanzania Movie Talents (TMT) Joti na Lulu wakiwa kwa Steji tayari kwa Show kuanza
Timu ya Tanzania Movie Talents (TMT) ikiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSAFARI YA MCHUJO KWA WASHIRIKI WA TMT YAANZA RASMI
11 years ago
MichuziWASHIRIKI WA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) WATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS LEO
Bamaga Mwenge Jijini Dar Es...
11 years ago
Dewji Blog27 Jun
Washiriki wa fainali za shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) watembelea Ofisi za Global Publishers leo
Washiriki wa fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambao ni washindi wa TMT kutoka kanda sita za Tanzania wakisikiliza maelezo kwa makini kutoka kwa Mmoja wa Wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers Limited (hayupo pichani).
Mmoja wa washiriki wa fainali wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambae pia ni mshindi kutoka kanda ya Kati Mkoa wa Dodoma Mwinshehe Mohamed akijitambulisha mbele ya wafanyakazi wa Kampuni ya Kubwa ya Habari ya Global Publishers Limited...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PZdrBvKrT3c/U891FDtqFAI/AAAAAAAAaLo/iy_5HOHWBus/s72-c/1.jpg)
SASA UNAWEZA KUWAPIGIA KURA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) UWAPENDAO KUPITIA UKURASA WETU WA FACEBOOK
![](http://4.bp.blogspot.com/-PZdrBvKrT3c/U891FDtqFAI/AAAAAAAAaLo/iy_5HOHWBus/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-51jCQsUfTTI/U891D-BbUhI/AAAAAAAAaLY/cO73MoCYRxQ/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-my7Y5mcwXAQ/U891EJLx-QI/AAAAAAAAaLc/F0H73nNQP8o/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BmoMka0WJp0/U891Fp3XMmI/AAAAAAAAaLs/RkhLzNE9dFQ/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7UfXelPFviQ/U891GAKUYqI/AAAAAAAAaMA/6VTi1C2bzV4/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9b_W2zWJhF8/U891GlVKBvI/AAAAAAAAaL0/Lez3Dk81esc/s1600/6.jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
Washiriki 20 wa shindano la TMT waingia rasmi kambini jana usiku, tayari kwa safari ya kuwania Milioni 50
Muonekano wa TMT House ambayo washiriki 20 wa Shindano la Tanzania Movie Talents wameweka kambi rasmi kuanzia jana Usiku kwa mchakato wa kuwania Milioni 50 katika fainali itakayofanyika Mwishoni mwa Mwezi wa nane.
Mmoja kati ya Washindi watatu kutoka Kanda ya Kusini, Mwanaafa Mwizago akiingia rasmi kambini hapo jana wakati wakitokea kwenye matembezi. Washiriki wote 20 ambao ni washindi kutoka Kanda sita za Tanzania sasa wapo kambini kwaajili ya kujifua ili kuwania kitita cha Shilingi...
10 years ago
Michuzi17 Aug
Shindano la Tanzania Movie talents (TMT)
11 years ago
GPLWASHIRIKI 20 WA SHINDANO LA TMT WAINGIA RASMI KAMBINI JANA USIKU, TAYARI KWA SAFARI YA KUWANIA MILIONI 50
10 years ago
GPL10 BORA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) WAPATIKANA