Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Michuano Kriketi Afrika nchini Tanzania

Michuano ya kriketi ya Afrika kwa wanawake chini ya miaka 19, imeanza kutimua vumbi jijini Dar es salaam Tanzania.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania,Namibia,Uganda zashinda michuano ya kriketi

Baada ya kuanza vibaya kwa kufungwa na Namibia kwa mikimbio102, wenyeji Tanzania wamefanikiwa kuwafunga Botswana kwa (runs) 47

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania na michuano kanda ya 5 Afrika

Tanzania yachagua timu kuzikabili nchi nyingine za Afrika katika wavu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini kinara-kriketi

Timu ya kriket ya Afrika Kusini, imeendelea kufanya vizuri katika michuano ya kombe la dunia la kriketi kwa kuichapa Sri Lanka.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza yashinda Afrika Kusini kriketi

Uingereza imepata ushindi wa wiketi sita kwa mikimbio 38 pekee siku ya tano ya mechi ya kimataifa na kukamilisha ushindi wa mikimbio 241 dhidi ya Afrika Kusini.

 

10 years ago

Vijimambo

Nahodha kriketi Tanzania aomboleza


Timu ya criket ya Tanzania


Nahodha wa timu ya taifa ya kriketi Tanzania, Hamis Abdallah amesema pengo la mchezaji wa zamani wa timu hiyo, Enjo Seti( wa nne kutoka kulia katika picha mwenye miwani) aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ugonjwa wa moyo halitazibika.
Seti, kwa mujibu wa watu wa karibu alifariki dunia Ijumaa akiwa matembezini baada ya kuugua ghafla.
"Kwa niaba ya wachezaji wenzagu, tumehuzunishwa na kifo cha mchezaji mwenzetu, tuliyeanza naye kujifunza kriketi katika miaka ya 1990...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania mwenyeji mchezo wa kriketi

Tanzania sasa itakuwa mwenyeji wa michuano ya Afrika ya kriketi daraja la 1 kwa wanaume chini ya miaka 19

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria

Tanzania yaifunga Nigeria kwa wiketi 3 katika michuano ya kufuzu kucheza kombe la Dunia kwa kwa wavulana chini ya miaka 19

 

10 years ago

BBCSwahili

Tutafuzu michuano ya Mataifa ya Afrika.

TFF imesema limeweka malengo ,timu ya taifa ya vijana ya U17 inafuzu kucheza fainali za Mataifa Afrika 2017 Madagscar

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika

Ratiba ya michuano ya kuwania kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika imetolewa leo na CAF.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani