Michuano Kriketi Afrika nchini Tanzania
Michuano ya kriketi ya Afrika kwa wanawake chini ya miaka 19, imeanza kutimua vumbi jijini Dar es salaam Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Tanzania,Namibia,Uganda zashinda michuano ya kriketi
Baada ya kuanza vibaya kwa kufungwa na Namibia kwa mikimbio102, wenyeji Tanzania wamefanikiwa kuwafunga Botswana kwa (runs) 47
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Tanzania na michuano kanda ya 5 Afrika
Tanzania yachagua timu kuzikabili nchi nyingine za Afrika katika wavu.
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Afrika Kusini kinara-kriketi
Timu ya kriket ya Afrika Kusini, imeendelea kufanya vizuri katika michuano ya kombe la dunia la kriketi kwa kuichapa Sri Lanka.
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Uingereza yashinda Afrika Kusini kriketi
Uingereza imepata ushindi wa wiketi sita kwa mikimbio 38 pekee siku ya tano ya mechi ya kimataifa na kukamilisha ushindi wa mikimbio 241 dhidi ya Afrika Kusini.
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Nahodha kriketi Tanzania aomboleza
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/13/150113104022_cricket_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Nahodha wa timu ya taifa ya kriketi Tanzania, Hamis Abdallah amesema pengo la mchezaji wa zamani wa timu hiyo, Enjo Seti( wa nne kutoka kulia katika picha mwenye miwani) aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ugonjwa wa moyo halitazibika.
Seti, kwa mujibu wa watu wa karibu alifariki dunia Ijumaa akiwa matembezini baada ya kuugua ghafla.
"Kwa niaba ya wachezaji wenzagu, tumehuzunishwa na kifo cha mchezaji mwenzetu, tuliyeanza naye kujifunza kriketi katika miaka ya 1990...
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Tanzania mwenyeji mchezo wa kriketi
Tanzania sasa itakuwa mwenyeji wa michuano ya Afrika ya kriketi daraja la 1 kwa wanaume chini ya miaka 19
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria
Tanzania yaifunga Nigeria kwa wiketi 3 katika michuano ya kufuzu kucheza kombe la Dunia kwa kwa wavulana chini ya miaka 19
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Tutafuzu michuano ya Mataifa ya Afrika.
TFF imesema limeweka malengo ,timu ya taifa ya vijana ya U17 inafuzu kucheza fainali za Mataifa Afrika 2017 Madagscar
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika
Ratiba ya michuano ya kuwania kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika imetolewa leo na CAF.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania