Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania,Namibia,Uganda zashinda michuano ya kriketi

Baada ya kuanza vibaya kwa kufungwa na Namibia kwa mikimbio102, wenyeji Tanzania wamefanikiwa kuwafunga Botswana kwa (runs) 47

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi Vijana:Tanzania,Namibia kuchuana

Tanzania itacheza na Namibia katika mechi ya ufunguzi ya Ligi ya Kriketi ya Afrika kwa vijana wa kiume umri chini ya miaka 19

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi Tanzania yataja kikosi kuivaa Namibia

Chama cha Kriketi Tanzania kimetaja wachezaji 14 watakachocheza na Namibia kufuzu kombe la Dunia kwa wavulana waliochini ya miaka 19.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano Kriketi Afrika nchini Tanzania

Michuano ya kriketi ya Afrika kwa wanawake chini ya miaka 19, imeanza kutimua vumbi jijini Dar es salaam Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya mpira wa pete ni Namibia.

Michuano ya Afrika ya mpira wa pete (netball) inategemewa kufanyika nchini Namibia na Tanzania inajiandaa kushiriki.

 

10 years ago

StarTV

Michuano ya mpira wa pete kufanyika Namibia.

Michuano ya Afrika ya mpira wa pete (netball) inategemewa kufanyika nchini Namibia na Tanzania imesema inajipanga kwa ajili ya kushiriki.

Kwa mujibu wa viongozi wa chama cha netball nchini Tanzania (Chaneta), timu ya taifa itachaguliwa muda wowote kwa ajili ya kuanza maandalizi. Michuano hiyo itafanyika mwezi June.

Ushiriki wa Tanzania na timu nyingine utasaidia kupanda viwango vya dunia.

Katika viwango vilivyotolewa na shirikisho la dunia (IFNA) mwezi April mwaka huu, Tanzania ipo nafasi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda kidedea kwenye kriketi

Michuano ya Afrika ya kriketi ya Daraja la 1 ( T20) inaendelea nchini Afrika ya Kusini huku Uganda ikiendeleza ushindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda haitaanda mashindano ya Kriketi

Uganda imevuliwa uwezo wa kuandaa mashindano ya kimataifa ya kriketi divisheni ya tatu kutokana na hofu ya usalama nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria

Tanzania yaifunga Nigeria kwa wiketi 3 katika michuano ya kufuzu kucheza kombe la Dunia kwa kwa wavulana chini ya miaka 19

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania mwenyeji mchezo wa kriketi

Tanzania sasa itakuwa mwenyeji wa michuano ya Afrika ya kriketi daraja la 1 kwa wanaume chini ya miaka 19

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani