Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uganda kidedea kwenye kriketi

Michuano ya Afrika ya kriketi ya Daraja la 1 ( T20) inaendelea nchini Afrika ya Kusini huku Uganda ikiendeleza ushindi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

India kidedea kombe la dunia kriketi

Timu ya kriketi ya India imeibanjua timu ya Ireland kwa jumla wiket nane kwenye michezo ya kombe la dunia la kriketi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda haitaanda mashindano ya Kriketi

Uganda imevuliwa uwezo wa kuandaa mashindano ya kimataifa ya kriketi divisheni ya tatu kutokana na hofu ya usalama nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania,Namibia,Uganda zashinda michuano ya kriketi

Baada ya kuanza vibaya kwa kufungwa na Namibia kwa mikimbio102, wenyeji Tanzania wamefanikiwa kuwafunga Botswana kwa (runs) 47

 

11 years ago

Michuzi

TPDC yaibuka kidedea kwenye maonesho ya Sabasaba

Greyson Mwase na Malik Munisi
Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) limeibuka kidedea na kukabidhiwa kikombe cha ushindi katika kundi la mashirika ya petroli na mafuta nchini baada ya kuyabwaga chini mashirika megine mengi yaliyokuwa yanawania kikombe hicho katika maonesho ya kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo jijini Dar es Salaam.
Kikombe hicho kilikabidhiwa na mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo Makamu wa Pili wa Rais wa...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI KUU YAIBUKA KIDEDEA KWENYE MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI

 Wadau wa Benki Kuu wakiwa na furaha baada ya kushinda tuzo kibao katika siku ya mwisho ya Maonesho ya Wiki ya Utumishi katika bustani ya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni wafanyakazi katika banda hilo Wadau wa Benki Kuu na tuzo zao na vyeti Wadau wakijidai na makombe yao makubwa Tuzo ya Taasisi inayoendeshwa vyemaTuzo ya Banda Bora katika maonesho hayo

 

10 years ago

Dewji Blog

Umoja wa Mataifa waibuka kidedea katika uhabarishaji na utoaji elimu kwenye tuzo za maonyesho ya 39 ya Sabasaba

DSC_0178

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkadhi Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) cheti na tuzo katika kipengele cha  Uelimishaji bora kupitia Uandishi wa machapisho na mpangilio bora wa maonyesho, baada ya Umoja wa Mataifa kuibuka mshindi wa kwanza katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba yalipozinduliwa rasmi. Wanaoshuhudia tukio hilo...

 

10 years ago

GPL

UMOJA WA MATAIFA WAIBUKA KIDEDEA KATIKA UHABARISHAJI NA UTOAJI ELIMU KWENYE TUZO ZA MAONYESHO YA 39 YA SABASABA‏

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) Cheti na Tuzo katika kipengele cha Uelimishaji Bora kupitia Uandishi wa Machapisho na Mpangilio Bora wa maonyesho, baada ya Umoja wa Mataifa kuibuka mshindi wa kwanza katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ya...

 

5 years ago

Michuzi

KIWANDA cha Sherlys pharmaceutical LTD chaibuka kidedea kwenye shindano la KAIZEN, kuwakilisha katika shindano la KAIZEN Afrika

KIWANDA cha Sherlys pharmaceutical LTD cha Mwenge jijini Dar es Salaam chaibuka kidedea katika shindano la nne la KAIZEN lililofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Akizungumza wakati wa kuwapa tuzo za ushindi wa kiwanda bora za KAIZEN jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda na Biashara, Riziki Shemdoe amesema kuwa kiwanda kilichoshinda kitatuwakilisha katika mashindano ya KAIZEN kwa nchi za Afrika zitakazofanyika Mwakani 2020 nchini Afrika Kusini.
"Sisis kama Sherlys...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uganda Cranes wahusika kwenye ajali

Basi lililokuwa limebeba wachezaji wa timu ya taifa ya Uganda limehusika kwenye ajali ya barabarani wakirejea Kampala baada ya kukutana na Rais Yoweri Museveni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani