Umoja wa Mataifa waibuka kidedea katika uhabarishaji na utoaji elimu kwenye tuzo za maonyesho ya 39 ya Sabasaba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkadhi Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) cheti na tuzo katika kipengele cha Uelimishaji bora kupitia Uandishi wa machapisho na mpangilio bora wa maonyesho, baada ya Umoja wa Mataifa kuibuka mshindi wa kwanza katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba yalipozinduliwa rasmi. Wanaoshuhudia tukio hilo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_01781.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WAIBUKA KIDEDEA KATIKA UHABARISHAJI NA UTOAJI ELIMU KWENYE TUZO ZA MAONYESHO YA 39 YA SABASABA
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania atembelea banda la Modewjiblog maonyesho ya Sabasaba leo
Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, akisalimiana na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale alipotembelea katika banda la mtandao huo ambao mwaka huu mwezi Septemba unatimiza miaka 7 tangu kuanzishwa ambapo wametumia fursa ya maonyesho ya saba saba kukutana na wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huo kupata habari mbalimbali sambamba na kubadilishana mawazo na ushauri wa maboresho...
11 years ago
Michuzi29 Jun
LULU, MILARD AYO, KING MAJUTO WAIBUKA VINARA KATIKA SHEREHE ZA UTOAJI TUZO ZA WATU KATIKA HOTELI YA SERENA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DmSvpVBkgm4/VZOXHYUOssI/AAAAAAAHmIE/J-VFn4ejeJA/s72-c/thumb_DSC_0208_1024.jpg)
BANDA LA AFRI-TEA &COFFEE BLENDERS (1963)LIMITED,KATIKA MAONYESHO YA SABASABA WAIBUKA NA BIDHAA MPYA YA UJI BORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DmSvpVBkgm4/VZOXHYUOssI/AAAAAAAHmIE/J-VFn4ejeJA/s640/thumb_DSC_0208_1024.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vff41MV3FDg/VZOUUL5JBDI/AAAAAAAHmHE/V1yJsBBUbkQ/s640/DSC_0260.jpeg)
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Umoja wa Mataifa katika utendaji wa elimu
MATAIFA yanayoendelea yanategemea kwa kiasi kikubwa kupata misaada kutoka taasisi za kimataifa ikiwemo Umoja wa Mataifa(UN), wamejikita kutoa misaada katika nyanja za afya, elimu na lishe.
Katika elimu UN inatoa msaada mkubwa kwa Serikali ya Tanzania kutoa elimu bora iliyo sawa kwa wote katika kila ngazi.
Utendaji kazi huu unalenga kukuza ubora wa elimu na katika jitihada zitakazomsaidia mwanafunzi nchini na kukuza ubora wa ufundishaji, kutoa fursa kwa makundi ya watu walio pembeni...
10 years ago
MichuziNSSF WAIBUKA WASHINDI WA JUMLA MAONYESHO YA SABASABA
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Maonyesho ya kimataifa ya elimu yaanza katika viwanja vya Mwl. J. K Nyerere SabaSaba jijini Dar
11 years ago
Dewji Blog11 Jun
Waandishi 37 watunukiwa tuzo za maoni yao kuhusu kuboresha utoaji huduma kwenye sekta za elimu, afya na maji
Twaweza, kama sehemu ya kazi zake kwenye Mpango wa kuendesha shughuli za serikali kwa uwazi (OGP), imetoa tuzo za kompyuta (aina ya laptops) na taa zinazotumia nishati ya jua kwa waandishi 37 kutokana na mawazo yao juu ya namna Serikali na wananchi wanavyoweza kuboresha utoaji huduma kwenye sekta za elimu, afya na maji.
Shindano hili la kutafuta maoni ya wananchi lilizinduliwa kwa ushirikiano wa Twaweza pamoja na Serikali ya Tanzania mwezi Desemba 2012. Twaweza iliisaidia Serikali...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Mataifa 31 kushiriki maonyesho Sabasaba
MATAIFA 31 na kampuni zaidi ya 500 zimethibitisha kushiriki maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba). Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade, Jacqueline Maleko, alieleza hayo jijini Dar es...