NSSF WAIBUKA WASHINDI WA JUMLA MAONYESHO YA SABASABA
Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi tuzo Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume baada ya kuibuka washindi wa jumla katika Maonyesho ya Biashara ya 39 ya Kimataifa ya Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (Tantrade), Jacquline Maleko.
Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi tuzo Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
Umoja wa Mataifa waibuka kidedea katika uhabarishaji na utoaji elimu kwenye tuzo za maonyesho ya 39 ya Sabasaba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkadhi Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) cheti na tuzo katika kipengele cha Uelimishaji bora kupitia Uandishi wa machapisho na mpangilio bora wa maonyesho, baada ya Umoja wa Mataifa kuibuka mshindi wa kwanza katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba yalipozinduliwa rasmi. Wanaoshuhudia tukio hilo...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_01781.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WAIBUKA KIDEDEA KATIKA UHABARISHAJI NA UTOAJI ELIMU KWENYE TUZO ZA MAONYESHO YA 39 YA SABASABA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DmSvpVBkgm4/VZOXHYUOssI/AAAAAAAHmIE/J-VFn4ejeJA/s72-c/thumb_DSC_0208_1024.jpg)
BANDA LA AFRI-TEA &COFFEE BLENDERS (1963)LIMITED,KATIKA MAONYESHO YA SABASABA WAIBUKA NA BIDHAA MPYA YA UJI BORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DmSvpVBkgm4/VZOXHYUOssI/AAAAAAAHmIE/J-VFn4ejeJA/s640/thumb_DSC_0208_1024.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vff41MV3FDg/VZOUUL5JBDI/AAAAAAAHmHE/V1yJsBBUbkQ/s640/DSC_0260.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R7UFLnsmqac/VckfudLZBFI/AAAAAAAHv9g/N6MynHJPqL0/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
NHIF WAIBUKA WASHINDI KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE MKOANI LINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-R7UFLnsmqac/VckfudLZBFI/AAAAAAAHv9g/N6MynHJPqL0/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
Banda la NSSF lawa gumzo maonyesho ya kimataifa ya 39 (Sabasaba) viwanya vya Mwalimu Nyerere Dar
![Mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba akihudumiwa na Meneja Kiongozi Masoko na Ushirikiano wa, Bi. Eunice Chiume (wa kwanza kulia mbele).](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0012.jpg)
Mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba akihudumiwa na Meneja Kiongozi Masoko na Ushirikiano wa, Bi. Eunice Chiume (wa kwanza kulia mbele).
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0014.jpg)
Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba.
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakiwa katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tayari kwa kuwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0015.jpg)
Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakiwa katika Banda lao kwenye maonesho 39...
10 years ago
Vijimambo30 Jun
BANDA LA NSSF LAWA GUMZO MAONYESHO YA KIMATAIFA YA 39 (SABASABA) VIWANYA VYA MWALIMU NYERERE DAR ES SALAAM
![Mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba akihudumiwa na Meneja Kiongozi Masoko na Ushirikiano wa, Bi. Eunice Chiume (wa kwanza kulia mbele).](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0012.jpg)
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0014.jpg)
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakiwa katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tayari kwa kuwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150629-WA0015.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-MnPgAYV8p90/VISBpLMlglI/AAAAAAAG1wo/WQS_Rhi2Dmc/s72-c/unnamed%2B(94).jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA PPF WAIBUKA MSHINDI WA JUMLA
![](http://1.bp.blogspot.com/-MnPgAYV8p90/VISBpLMlglI/AAAAAAAG1wo/WQS_Rhi2Dmc/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
ni Mwenyekiti wa bodi ya NBAA, Profesa Isaya Jairo (kushoto), MkurugenziMkuu wa Mamlaka ya Udhibuiti Mifuko ya Jamii, Irene Isaka (wapili kushoto),...
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
TBL washindi wa jumla tuzo za RECP Afrika Mashariki
![01](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/0112.jpg)
Waziri wa Nchi wa Mazingira wa Uganda, Flavia Namugere (katikati) akiwakabidhi tuzo ya ushindi wa jumla ya RECP Afrika Mashariki ya usimamizi bora wa matumizi ya maji na nishati kwa Mhandisi wa Huduma za Kiufundi wa Kiwanda cha Mwanza cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Sunday Kidolezi (kushoto), na Mhandisi wa Mitambo wa kiwanda hicho, Erick Ernest ambayo kampuni hiyo ilituzwa katika hafla iliyofanyika hivi karibuni jijini Entebe, Uganda.
Tanzania Deputy Permanent Secretary for...
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Acacia washindi wa jumla tuzo ya Rais kwa mwaka 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-j-iHGcEDI6c/VTdeFgwRjtI/AAAAAAAASpQ/7SpH2BpVw8M/s1600/b1.jpg)