Mataifa 31 kushiriki maonyesho Sabasaba
MATAIFA 31 na kampuni zaidi ya 500 zimethibitisha kushiriki maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba). Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade, Jacqueline Maleko, alieleza hayo jijini Dar es...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UZALISHAJI MALI LA SUMAJKT KUSHIRIKI MAONYESHO YA 39 YA KIMATAIFA YA SABASABA.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8RI8BZeUYZUBXCvoO6m8JNuc4v909BzaNU7ZMEglLtp2pRGb6xvMwpbJ3riJ4y5QT7aKVkDnbdUJd-Y53Sg5-0s/001.jTANTRADEpg.jpg?width=650)
MATAIFA 31 KUSHIRIKI MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA DAR ES SALAAM (MAARUFU KAMA SABASABA)
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania atembelea banda la Modewjiblog maonyesho ya Sabasaba leo
Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, akisalimiana na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale alipotembelea katika banda la mtandao huo ambao mwaka huu mwezi Septemba unatimiza miaka 7 tangu kuanzishwa ambapo wametumia fursa ya maonyesho ya saba saba kukutana na wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huo kupata habari mbalimbali sambamba na kubadilishana mawazo na ushauri wa maboresho...
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
Umoja wa Mataifa waibuka kidedea katika uhabarishaji na utoaji elimu kwenye tuzo za maonyesho ya 39 ya Sabasaba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkadhi Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) cheti na tuzo katika kipengele cha Uelimishaji bora kupitia Uandishi wa machapisho na mpangilio bora wa maonyesho, baada ya Umoja wa Mataifa kuibuka mshindi wa kwanza katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba yalipozinduliwa rasmi. Wanaoshuhudia tukio hilo...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_01781.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WAIBUKA KIDEDEA KATIKA UHABARISHAJI NA UTOAJI ELIMU KWENYE TUZO ZA MAONYESHO YA 39 YA SABASABA
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Global Education Link yavialika Chuo kikuu cha Sharda na Lovely Professional vya India kushiriki maonyesho ya sabasaba jijini Dar
Mkurugenzi wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bw. Abdulmalik Mollel (wa pili toka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa vyuo vya nje ya nchi kutoka kushoto ni Meneja Miradi wa Chuo Kikuu cha Lovely Professional cha Nchini India, Bw. Gulshan Sandh na Bw. Sourabh Chaudhary pamoja na Meneja wa Kanda wa Chuo Kikuu cha Sharda cha nchini India, Bw. Deepak Kaushik mara baada ya kuwakaribisha katika ofisi yao iliyopo ndani ya maonyesho ya 39 ya...
10 years ago
MichuziGLOBAL EDUCATION LINK YAVIALIKA VYUO KIKUU VYA SHARDA NA LOVELY PROFESSIONAL VYA INDIA KUSHIRIKI MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-muxae4wh5K4/U7QhWXNiJZI/AAAAAAAFuas/owABSUYL_Bw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
MH. PINDA ATEMBELEA MAONYESHO YA SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-muxae4wh5K4/U7QhWXNiJZI/AAAAAAAFuas/owABSUYL_Bw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4j_MXG4-EF0/U7QhYKQMEdI/AAAAAAAFuaw/IvXhX6HvWGI/s1600/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
EPZA yang’aa Maonyesho ya Sabasaba
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imeibuka na ushindi mnono baada ya kupata vikombe viwili kwenye Maonyesho ya 38 Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) yanayoendelea jijni Dar es Salaam....