MH. PINDA ATEMBELEA MAONYESHO YA SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-muxae4wh5K4/U7QhWXNiJZI/AAAAAAAFuas/owABSUYL_Bw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama asali kutoka Ilagala, Kigoma wakati alipotembelea banda la Asali kwenye maonyesho ya Biashara ya Kiataifa yanayoendelea kwenye uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es salaam Jumlai 2, 2014. Kulia ni Waziri wa Viwanda na Bishara, Dr.Abdallah Kigoda.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama asali kutoka Ilagala, Kigoma wakati alipotembelea banda la Asali kwenye maonyesho ya Biashara ya Kiataifa yanayoendelea kwenye uwanja wa maonyesho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XTRb30jGT2Y/U7WKgo9Yd3I/AAAAAAAFuto/fSkupEOGoYg/s72-c/b2.jpg)
Mh. Pinda atembelea Banda la PSPF kwenye Maonyesho ya Sabasaba
![](http://3.bp.blogspot.com/-XTRb30jGT2Y/U7WKgo9Yd3I/AAAAAAAFuto/fSkupEOGoYg/s1600/b2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wLKnHa-OKqc/U7WKieh6-fI/AAAAAAAFutw/07GthcV8l7k/s1600/b3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Waziri Mkuu Mizengo Pinda atembelea banda la kampuni ya Property International Limited katika maonyesho ya Sabasaba
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Miengo Pinda akiwasili kwenye banda la Kampuni ya Property Itnernational Limited ya jijini Dar es salaam wakati alipotembelea banda hilo Katika maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa (TANTRADE) kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam, Ili kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kampuni hiyo inayojihusisha na miradi mikubwa ya upimaji na uuzaji wa viwanja vilivyopimwa kitaalamu maeneo mbalimbali...
11 years ago
Michuzi02 Jul
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ATEMBELEA BANDA LA KAMPUNI YA PROPERTY INTELNATIONAL LIMITED KATIKA MAONYESHO YA (TANTRADE) SABASABA
![1w](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1w.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGayE3y55lE5UUnumzvvIlbg-1DF*HtSRLo4CONQfLpmdS2hhDO-uxZtncbibhRDlCLwy54AFra--TujYAMov-Pw/b2.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA SABASABA
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Boss wa UN, Alvaro Rodriguez atembelea Sabasaba, asema maonyesho ni fursa ya kujifunza
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Jacqueline Mneney Maleko (wa tatu kushoto) akiongozana na Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) mara baada ya kuwasili katika viwanja vya maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ‘Sabasaba’, barabara ya Kilwa, jijini Dar.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7ECtbYEYrLQ/U7bs3Cw1rPI/AAAAAAAFvB0/2EVpuukRAgs/s72-c/Salma+_Mayingu2.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-7ECtbYEYrLQ/U7bs3Cw1rPI/AAAAAAAFvB0/2EVpuukRAgs/s1600/Salma+_Mayingu2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--Q0iHBzreOE/U7bs3HfZi0I/AAAAAAAFvB4/MVi6IFeC78A/s1600/mayingu2.jpg)
11 years ago
MichuziMKURUGENZI MKUU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF ATEMBELEA BANDA LAO KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania atembelea banda la Modewjiblog maonyesho ya Sabasaba leo
Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, akisalimiana na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale alipotembelea katika banda la mtandao huo ambao mwaka huu mwezi Septemba unatimiza miaka 7 tangu kuanzishwa ambapo wametumia fursa ya maonyesho ya saba saba kukutana na wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huo kupata habari mbalimbali sambamba na kubadilishana mawazo na ushauri wa maboresho...
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Balozi wa Tanzania nchini Ubeligiji, Mh. Kamala atembelea banda PPF Katika maonyesho ya Sabasaba
Meneja Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni, Lulu Mengele (kushoto) akimkaribisha Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji, Mh Dodorius Kamala (kulia) wakati alipotembelea banda la PPF kwenye maonyesho ya Sabasaba yaliyomalizika jana.
Afisa Mafao wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Hellen Mollel akitoa maelezo kwa Balozi wa Tanzania nchini Ubeligiji, Mh Kamala juu ya wanachama wanavyonufaika na mafao wakati wanapostaafu kazini, Wa kwanza Kushoto ni Meneja Uhusiano na Masoko, Lulu Mengele.
Afisa...