EPZA yang’aa Maonyesho ya Sabasaba
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imeibuka na ushindi mnono baada ya kupata vikombe viwili kwenye Maonyesho ya 38 Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) yanayoendelea jijni Dar es Salaam....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Modewjiblog yang’ara maonyesho ya Sabasaba huku ikitimiza miaka 7
Pichani juu na chini ni Meneja Mwendeshaji wa tovuti ya Modewjiblog, Zainul Mzige akiwapa ufafanuzi wadau waliotembelea banda la tovuti hiyo lililopo MeTL Pavillion katika maonyesho ya kimataifa ya kibiashara ya Sabasaba yanayoendelea katika kiwanja cha Mwl. Julius Nyerere barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Bw. Zainul pia ametumia fursa hiyo kutaja umri wa tovuti hiyo ambapo amesema sasa inatimiza miaka saba(7) tangu ilipoanzishwa na kuwa inatarajia kuadhimisha “birthday”itakapofika...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tEJoC3S2nPw/U7J-D5-n5SI/AAAAAAABBgA/oanR2ayhuSQ/s72-c/1.jpg)
NSSF YANG’ARA KATIKA MAONESHO YA 38 YA KIMATAIFA YA BIASHARA ‘SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tEJoC3S2nPw/U7J-D5-n5SI/AAAAAAABBgA/oanR2ayhuSQ/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DO4OSSt4y7o/U7J-GZCVUbI/AAAAAAABBgo/Ylq5s7sJo20/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqnIO6flexk/U7J-Gjl5SyI/AAAAAAABBgs/3abbaRnW458/s1600/3.jpg)
10 years ago
MichuziWIZARA YA NISHATI NA MADINI YANG’ARA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA SABASABA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ybi2KayuGQ/Ve_cdk7OIHI/AAAAAAAH3eY/TVFhAu5GYdc/s72-c/Pic%2B1%2Bmwanza.jpg)
AIRTEL YANG’ARA KATIKA MAONYESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ybi2KayuGQ/Ve_cdk7OIHI/AAAAAAAH3eY/TVFhAu5GYdc/s640/Pic%2B1%2Bmwanza.jpg)
Kushoto) akimkabithi kikombe Afisa masoko na biashara wa Airtel ,
Emmanuel Raphael mara baada ya kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel
kuibuka mshindi wa pili katika maonyesho ya Biashara ya Afrika
Mashariki ya mwaka huu. Katika maonyesho hayo Airtel ilipata makombe
manne katika vipengele mbalimbali ikiwemo, Mtoa huduma bora , Mtoa
huduma bora katika sekta ya mawasiliano, ubora katika mawasiliano ya
habari na tecknologia pamoja na...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Mataifa 31 kushiriki maonyesho Sabasaba
MATAIFA 31 na kampuni zaidi ya 500 zimethibitisha kushiriki maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba). Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade, Jacqueline Maleko, alieleza hayo jijini Dar es...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-muxae4wh5K4/U7QhWXNiJZI/AAAAAAAFuas/owABSUYL_Bw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
MH. PINDA ATEMBELEA MAONYESHO YA SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-muxae4wh5K4/U7QhWXNiJZI/AAAAAAAFuas/owABSUYL_Bw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4j_MXG4-EF0/U7QhYKQMEdI/AAAAAAAFuaw/IvXhX6HvWGI/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
MichuziDCB BENKI KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
10 years ago
Mwananchi08 Jul
MAONI : Maonyesho ya Sabasaba yanahitaji kuboreshwa
11 years ago
MichuziBANDA LA UTT LAVUTIA WENGI MAONYESHO YA SABASABA
Ofisa Masoko wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania UTT, Waziri Ramadhani akijaza fomu ya mtoto aliyejiunga na Mfuko wa Watoto wakati wa Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (DITF), kwsenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Ofisa Masoko Mwandamizi wa UTT, Martha Mashiku.