Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATAIFA 31 KUSHIRIKI MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA DAR ES SALAAM (MAARUFU KAMA SABASABA)

MKURUGENZI Mkuu wa  Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Jacquiline Maleko, akizungumza na waandishi wa haabari kuhusiana na kuingia Ubia na kampuni  ya Mawasiliano ya Vodacom, Kama mdhamini Mkuu wa Mawasiliano wakati wa maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam yatakayo anza 28 juni na kumalizika julai 8 mwaka huu. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

AICC YASHIRIKI MAONESHO YA 39 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA DAR ES SALAAM (SABASABA)

Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) kimeshiriki maonesho ya 39 ya kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) ili kuelezea umma juu ya shughuli zake mbalimbali ikiwemo masuala ya uendeshaji wa mikutano. AICC ilielezea pia uwepo wa kituo chake cha Mikutano kwa Mkoa wa Dar es Salaam kijulikanacho kama Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC) chenye kumbi zenye uwezo wa kuhudumia wageni 10-1000. Mbali na masuala ya mikutano AICC pia iliweza kuwaelezea wadau...

 

5 years ago

Michuzi

MAONESHO YA 44 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA DAR ES SALAAM (44th DITF) KUANZA JULAI 1 – 13, 2020 KATIKA UWANJA WA MAONESHO WA MWL. J.K. NYERERE

Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) inapenda kuwataarifu Taasisi za Umma, Sekta Binafsi, Jumuiya za Wafanyabiashara na Wananchi wote kwa ujumla kuwa inaendelea na maandalizi ya Maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam yanayotarajiwa kuanza tarehe 1 hadi 13 Julai, 2020 katika Uwanja wa Maonesho wa Mwl. J. K. Nyerere, Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam. 
Lengo la Maonesho haya ni kutoa fursa ya kutafuta masoko ya...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA YA UZINDUZI RASMI WA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA KATIKA VIWANJA VYA SABASABA DAR

Vijana wa Scout walivyokuwa wamepanga kwa ajili ya kumpokea Rais Jakaya Kikwete. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akishuka katika viwanja vya Sabasaba jana. Lango kuu la kuingia kwenye ukumbi uliokuwa umeandaliwa maalum kwa mgeni rasmi. Baadhi ya watu waliofurika katika viwanja hivyo.…

 

10 years ago

Michuzi

MAONESHO YA KIMATAIFA YA ELIMU YAANZA LEO VIWANJA VYA SABASABA JIJINI DAR ES SALAAM

Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel (Wa pili kutoka kulia) akiwaonyesha ramani ya maonyesho ya Kimataifa ya Elimu kwa wadau wa Elimu waliojitokeza kushiriki maonyesho yanayoanza Leo Desemba 17-21, 2014 katika viwanja Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyoko Sabasaba jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel akielezea maonyesho ya Kimataifa ya Elimu yanayoanza...

 

11 years ago

Michuzi

PSPF katika maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam a.k.a Sabasaba

Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, hupata fursa ya kujionea na kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo kujua fursa ya kujipatia mikopo ya nyumba kama huyu (Kushoto), aliyetembelea banda la PSPF lililoko kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu Nyerere, jijini. Afisa wa PSPF, (Kushoto), akimpatia maelzo ya kina mwanachama huyu aliyefika kwenye banda hilo. Mwanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, (Kushoto), akiuliza maswali huku Afisa Masoko wa...

 

11 years ago

Michuzi

Mataifa 31kushiriki Maonesho ya 38 ya Biashara ya SABASABA MWAKA HUU

Zikiwa imebakia siku chache kuanza Maonesho ya 38 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (maarufu kama Saba Saba), tayari Mataifa 31 na makampuni zaidi ya 500 yamethibitisha kushiriki katika maonesho hayo. Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade, Jacqueline Mneney Maleko ametanabaisha hayo katika hafla ya kusaini Mkataba wa Udhamini wa Mawasiliano na kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom ambao utawezesha kufanikisha maandalizi na Mawasiliano katika kipindi chote cha Maonesho hayo.  “Maonesho haya yamekuwa kiungo...

 

10 years ago

Michuzi

BANDA LA TAWLA KATIKA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABASABA

 Baadhi ya wananchi waliohudhuria kwenye banda la chama cha wanasheria wanawake (TAWLA) kwenye maonesho ya kimataifa sabasaba. Mkurugenzi wa Programu wa TAWLA, Naseku Kisambu akitoa maelezo kwa watu waliohudhuria banda lao kwenye maonesho ya sabasaba jinsi gani Tawla inavyosaidia kisheria. Afisa habari wa TAWLA Goodness Mrema akitoa maelezo kwa wananchi waliohudhuria bandani kwao. Mkurugenzi mtendaji wa TAWLA,Tike Mwambipile akihojiwa na mwandishi wa Tbc  kwenye maonesho ya kimataifa...

 

11 years ago

Michuzi

JK ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA, LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Kamishna wa Fedha na Utawala wa Jeshi la Magereza, Gaston Sanga akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alipotembelea Banda la Jeshi la Magereza lililopo katika Uwanja wa Mwalimu Nyerere katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa, leo Julai 5, 2014 Jijini Dar es Salaam(wa kwanza kulia) ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, Sania Kigwe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia Mbogamboga aina...

 

10 years ago

Dewji Blog

Banda la TAWLA lang’ara maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba

ipp

Baadhi ya watu waliohudhuria kwenye banda la chama cha wanasheria wanawake (TAWLA) kwenye maonesho ya kimataifa sabasaba.

ipp

Mkurugenzi wa Programu wa TAWLA, Naseku Kisambu akitoa maelezo kwa watu waliohudhuria banda lao kwenye maonesho ya sabasaba jinsi gani Tawla inavyosaidia kisheria.

ipp

Afisa habari wa TAWLA Goodness Mrema akitoa maelezo kwa watu waliohudhuria bandani kwao.

ipp

Mkurugenzi mtendaji wa TAWLA, Tike Mwambipile akihojiwa na mwandishi wa TBC  kwenye maonesho ya kimataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani