Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu ya kriketi ya India yaalikwa Tanzania

Timu ya kriketi ya wanawake ya India itashiriki michuano ya kombe la wanawake ya T20 itakayochezwa Dar-Es-Salaam February 22.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

India kidedea kombe la dunia kriketi

Timu ya kriketi ya India imeibanjua timu ya Ireland kwa jumla wiket nane kwenye michezo ya kombe la dunia la kriketi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi:India imefuzu kwa nusu-fainali

India leo hii imefuzu kwa nusu-fainali ya mashindano ya kriketi ya kombe la dunia kwa kushinda Bangladesh mjini Melbourne

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania mwenyeji mchezo wa kriketi

Tanzania sasa itakuwa mwenyeji wa michuano ya Afrika ya kriketi daraja la 1 kwa wanaume chini ya miaka 19

 

10 years ago

Vijimambo

Nahodha kriketi Tanzania aomboleza


Timu ya criket ya Tanzania


Nahodha wa timu ya taifa ya kriketi Tanzania, Hamis Abdallah amesema pengo la mchezaji wa zamani wa timu hiyo, Enjo Seti( wa nne kutoka kulia katika picha mwenye miwani) aliyefariki dunia hivi karibuni kwa ugonjwa wa moyo halitazibika.
Seti, kwa mujibu wa watu wa karibu alifariki dunia Ijumaa akiwa matembezini baada ya kuugua ghafla.
"Kwa niaba ya wachezaji wenzagu, tumehuzunishwa na kifo cha mchezaji mwenzetu, tuliyeanza naye kujifunza kriketi katika miaka ya 1990...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi:Tanzania yaifunga Nigeria

Tanzania yaifunga Nigeria kwa wiketi 3 katika michuano ya kufuzu kucheza kombe la Dunia kwa kwa wavulana chini ya miaka 19

 

10 years ago

BBCSwahili

Kambi ya Kriketi yaanza leo Tanzania

Timu ya taifa ya Tanzania inaanza kambi leo Dar es Salaam kujiandaa na michuano ya kriketi ya Afrika chini ya miaka 19 daraja la 1 itakayofanyika nchini Namibia mwakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano Kriketi Afrika nchini Tanzania

Michuano ya kriketi ya Afrika kwa wanawake chini ya miaka 19, imeanza kutimua vumbi jijini Dar es salaam Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi Vijana:Tanzania,Namibia kuchuana

Tanzania itacheza na Namibia katika mechi ya ufunguzi ya Ligi ya Kriketi ya Afrika kwa vijana wa kiume umri chini ya miaka 19

 

10 years ago

BBCSwahili

Nchi nne kuwasili Tanzania kwa Kriketi

Namibia, Nigeria, Botswana, Kenya na Uganda zitawasili Tanzania kwa ajili ya michuano ya kriketi kwa wanaume chini ya miaka 19

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani