Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kriketi:India imefuzu kwa nusu-fainali

India leo hii imefuzu kwa nusu-fainali ya mashindano ya kriketi ya kombe la dunia kwa kushinda Bangladesh mjini Melbourne

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Brazil imefuzu kwa nusu fainali.

Brazil imejikatia tikiti kuchuana na Ujerumani katika nusu fainali baada ya kuilaza Colombia 2-1

 

10 years ago

BBCSwahili

Voliboli:Kenya yafuzu kwa nusu fainali

Kenya imefuzu kwa nusu fainali ya mchuano wa voliboli ya wanawake ya Grand Prix baada ya kuwanyamazisha Algeria seti 3-2 kwao

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014 - KAGONDO FC WATINGA NUSU FAINALI KWA KUIFUNGA IJUGANYONDO KWA MIKWAJU YA PENATI 4-3

Wachezaji wa Timu ya Kagondo Fc wakimpongeza mchezaji wao aliyewapa ushindi wa kwenda hatua ya Nusu fainali Abdallatifu Khamis juu kwa juu.
Kufungwa kubaya!!! Wachezaji wa Timu ya Ijuganyondo wakitoka Uwanjani wakiwa hawana hamu. Kwa picha zaidi na Faustine Ruta BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

Argentina yasonga nusu fainali kwa kuibanjua Ubelgiji bao 1-0

Na Sultani KipingoBao la dakika ya nane lililowekwa kimiani na mshambuliaji wa Napoli Gonzalo Higuain lilitosha kuipeleka Argentina kwenye nusu fainali za Kombe la Dunia walipocheza dhidi ya Ubelgiji ambayo ilishindwa kabisa kuonesha cheche zake leo jijini Brasilia.Higuain alitumia vyema kosa la kizembe la nahodha wa Ubelgiji Vincent Kompany kuipaisha Argentina kwa jaribio lao la kwanza kwenye goli la adui.

Kompany aliupoteza mpira na Lionel Messi akauzima kabla ya kumtilia pande Angel Di...

 

10 years ago

Dewji Blog

Washiriki wa Dance 100% waendelea kujifua kwa nusu fainali chini ya Vodacom

001.MABIBO

Mstafa Yahaya mmoja wa washiriki wa Shindano la Dance 100% wa Kundi la “Tatanisha Dancers” la Mabibo  jijini Dar es Salaam,akiwaongoza wenzake katika mazoezi yao ikiwa ni sehemu ya  kujiandaa na nusu fainali ya shindano hilo litakalofanyika Septemba 13 mwaka huu  kwenye  Viwanja vya Don Bosco Oysterbay. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.

 002.MABIBO

Mshiriki wa shindano la Dance 100% Isyaka Ramadhan wa Kundi la”Tatanisha Dancers” la Mabibo jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WA DANCE 100%WAENDELEA KUJIFUA KWA NUSU FAINALI CHINI YA VODACOM

 Mstafa Yahaya mmoja wa washiriki wa Shindano la Dance 100% wa Kundi la “Tatanisha Dancers” la Mabibo  jijini Dar es Salaam,akiwaongoza wenzake katika mazoezi yao ikiwa ni sehemu ya  kujiandaa na nusu fainali ya shindano hilo litakalofanyika Septemba 13 mwaka huu  kwenye  Viwanja vya Don Bosco Oysterbay. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania. Mshiriki wa shindano la Dance 100% Isyaka Ramadhan wa Kundi la”Tatanisha Dancers” la Mabibo jijini Dar es...

 

11 years ago

Michuzi

Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa

 

 

Mats Hummels  ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye  leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio...

 

10 years ago

BBCSwahili

India kidedea kombe la dunia kriketi

Timu ya kriketi ya India imeibanjua timu ya Ireland kwa jumla wiket nane kwenye michezo ya kombe la dunia la kriketi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu ya kriketi ya India yaalikwa Tanzania

Timu ya kriketi ya wanawake ya India itashiriki michuano ya kombe la wanawake ya T20 itakayochezwa Dar-Es-Salaam February 22.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani