Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yataja kikosi kuikabili Rwanda

Kocha wa timu ya taifa ya soka Tanzania, Mdachi Mart Nooij ametangaza kikosi cha wachezaji 26 kitakachoivaa Rwanda.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yataja kikosi cha tenisi .

Kwa mujibu wa viongozi wa chama cha tennis Tanzania (TTA), ushiriki wao utaleta tija katika maendeleo ya mchezo huo nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi Tanzania yataja kikosi kuivaa Namibia

Chama cha Kriketi Tanzania kimetaja wachezaji 14 watakachocheza na Namibia kufuzu kombe la Dunia kwa wavulana waliochini ya miaka 19.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zambia yataja kikosi cha AFCON 2015

Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Zambia Honor Janza ameteua kikosi kipya ambacho kina jumla ya wachezaji 27 kwa mwaka 2015 .

 

11 years ago

GPL

Kikosi Yanga kitakachoenda Rwanda hiki hapa

Wachezaji wa timu ya Yanga, SC. Wilbert Molandi na Hans Mloli
IMEFAHAMIKA kuwa, Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo amepanga kukitumia kikosi cha pili kwenye michuano ya Kombe la Kagame ambayo inatarajiwa kuanza Agosti 8, mwaka huu nchini Rwanda.
Gazeti hili limegundua hilo kwenye mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam, jana. Katika mazoezi hayo, Maximo alitenga...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yajiandaa kuikabili Ebola

KUENEA kwa ugonjwa wa ebola katika mataifa ya Afrika Magharibi, kumeifanya serikali kuchukua tahadhari. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Wizara ya Afya na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuikabili kenya beach soccer

Timu ya Taifa ya Tanzania ya mpira wa ufukweni imepangiwa kucheza na Kenya katika raundi ya kwanza ya michuano ya Afrika.

 

10 years ago

Michuzi

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), yajipanga kuikabili Ebola

Mganga Mkuu wa Zahanati ya TPA, Dkt. Mkunde Mlay akifungua mafunzo ya namna ya kukabiliana na Ebola kwa Wafanyakazi wa Bandari ya Dar es Salaam wa vitengo vya afya, zimamoto na ulinzi. Mafunzo hayo yalitolewa hivi karibuni bandarini hapo na madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili.Dkt. Juma Mfinanga wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, akieleza jambo kwa wafanyakazi wa Bandari ya Dar es Salaam namna ya kukabiliana na Ebola. Mfano wa vazi maalumu la kujikinga na maambukizi ya virusi vya Ebola...

 

10 years ago

GPL

RAIS JAKAYA KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA BALOZI WA RWANDA NA NORWAY, AMWAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI RWANDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimkaribisha rasmi Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania,Balozi Eugene Segore Kayihura alipowasilisha hati za utambulisho Ikulu jijini Dar es salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimkaribisha rasmi Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania,Balozi Eugene Segore Kayihura… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani