Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zambia yataja kikosi cha AFCON 2015

Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Zambia Honor Janza ameteua kikosi kipya ambacho kina jumla ya wachezaji 27 kwa mwaka 2015 .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yataja kikosi cha tenisi .

Kwa mujibu wa viongozi wa chama cha tennis Tanzania (TTA), ushiriki wao utaleta tija katika maendeleo ya mchezo huo nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yataja kikosi kuikabili Rwanda

Kocha wa timu ya taifa ya soka Tanzania, Mdachi Mart Nooij ametangaza kikosi cha wachezaji 26 kitakachoivaa Rwanda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi Tanzania yataja kikosi kuivaa Namibia

Chama cha Kriketi Tanzania kimetaja wachezaji 14 watakachocheza na Namibia kufuzu kombe la Dunia kwa wavulana waliochini ya miaka 19.

 

9 years ago

Dewji Blog

Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL

Smalling-Vardy-Ozil-De-Bruyne

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.

Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.

Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;

Golikipa

Jack Butland -Stoke...

 

9 years ago

Habarileo

Kikosi cha Hapa Kazi Tu 2015

RAIS John Magufuli ametangaza Baraza jipya la Mawaziri, ambalo kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, ndio baraza lenye idadi ndogo ya wizara na mawaziri wake. Baraza hilo lilitangazwa jana Ikulu Dar es Salaam, lina jumla ya wizara 18, zenye mawaziri 19, ambapo kati ya hao, wizara nne hazijapata mawaziri, huku idadi ya manaibu waziri wakiwa 15.

 

10 years ago

Michuzi

KIKAO CHA KIKOSI KAZI CHA "AMCOMET" TECHNICAL TASK FORCE ON AFRICAN REGIONAL SPACE PROGRAMME ON METEOROLOGY” KILICHOFANYIKA GENEVA, USWISI, TAREHE 10 JUNI 2015

Dkt. Agnes Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (akiwakilisha Tanzania) katika picha ya pamoja na washiriki wa kikosi kazi cha “African Ministerial Conference on Meteorology (AMCOMET) Technical Task Force on African Regional Space Programme on Meteorology” Geneva, Uswisi tarehe 10 juni 2015.

Tanzania ambayo ni mwenyekiti wa kikosi kazi cha “African Ministerial Conference on Meteorology (AMCOMET) Technical Task Force on African Regional Space Programme on Meteorology”...

 

10 years ago

Africanjam.Com

KIKOSI BORA CHA UEFA CHAMPIONS LEAGUE MSIMU HUU 2015


Goal-keepers: Marc-Andre ter Stegen (Barcelona), Gianluigi Buffon (Juventus)Defenders: Branislav Ivanovic (Chelsea), Gerard Pique (Barcelona), Javier Mascherano (Barcelona), Giorgio Chiellini (Juventus), Jordi Alba (Barcelona)
Mid-fields: Ivan Rakitic (Barcelona), Sergio Busquets (Barcelona), Andres Iniesta (Barcelona), Claudio Marchisio (Juventus), Toni Kroos (Real Madrid),Andrea Pirlo (Juventus)Strikers:Luis Suarez (Barcelona), Alvaro Morata (Juventus), Neymar (Barcelona), Cristiano Ronaldo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kinana kuongoza kikosi cha Kamati ya Kampeni Uchaguzi Mkuu Oktoba 2015

 

DSCF8406

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo asubuhi,katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam kuhusiana na uteuzi wa kamati ya Kampeni  kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2015, ambayo itaongozwa  na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na  Wajumbe.

Kamati Ya Kampeni Za Uchaguzi 2015 – 18.8.2015

 

9 years ago

Michuzi

CCM YATANGAZA RASMI KIKOSI CHAKE CHA KAMPENI 2015 JIJINI DAR LEO

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo asubuhi,katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam kuhusiana na uteuzi wa kamati ya Kampeni  kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2015,ambayo itaongozwa  na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na  Wajumbe
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa jana Agosti 17, 2015 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani