KIKAO CHA KIKOSI KAZI CHA "AMCOMET" TECHNICAL TASK FORCE ON AFRICAN REGIONAL SPACE PROGRAMME ON METEOROLOGY” KILICHOFANYIKA GENEVA, USWISI, TAREHE 10 JUNI 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-vzv6QIGwpUs/VYOpWg79NOI/AAAAAAAAA88/wJ2UjvRBtgY/s72-c/AMCOMET%2B2015-geneva.png)
Dkt. Agnes Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (akiwakilisha Tanzania) katika picha ya pamoja na washiriki wa kikosi kazi cha “African Ministerial Conference on Meteorology (AMCOMET) Technical Task Force on African Regional Space Programme on Meteorology” Geneva, Uswisi tarehe 10 juni 2015.
Tanzania ambayo ni mwenyekiti wa kikosi kazi cha “African Ministerial Conference on Meteorology (AMCOMET) Technical Task Force on African Regional Space Programme on Meteorology”...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-vzv6QIGwpUs/VYOpWg79NOI/AAAAAAAAA88/wJ2UjvRBtgY/s72-c/AMCOMET%2B2015-geneva.png)
KIKAO CHA KIKOSI KAZI CHA “AFRICAN MINISTERIAL CONFERENCE ON METEOROLOGY (AMCOMET) TECHNICAL TASK FORCE ON AFRICAN REGIONAL SPACE PROGRAMME ON METEOROLOGY” KILICHOFANYIKA GENEVA, USWISI, TAREHE 10 JUNI 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-vzv6QIGwpUs/VYOpWg79NOI/AAAAAAAAA88/wJ2UjvRBtgY/s640/AMCOMET%2B2015-geneva.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qYtbjhfd8y4/VYOpstwsxQI/AAAAAAAAA9I/RPC3vdunSCE/s640/AMCOMET%2B2015-geneva%2B2.png)
9 years ago
Habarileo11 Dec
Kikosi cha Hapa Kazi Tu 2015
RAIS John Magufuli ametangaza Baraza jipya la Mawaziri, ambalo kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, ndio baraza lenye idadi ndogo ya wizara na mawaziri wake. Baraza hilo lilitangazwa jana Ikulu Dar es Salaam, lina jumla ya wizara 18, zenye mawaziri 19, ambapo kati ya hao, wizara nne hazijapata mawaziri, huku idadi ya manaibu waziri wakiwa 15.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6lKve8aQg1A/VLYkQfJ5O1I/AAAAAAAAVe4/D3C9qEWcDjA/s72-c/1.jpg)
MAAZIMIO KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KILICHOFANYIKA JANA MJINI UNGUJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6lKve8aQg1A/VLYkQfJ5O1I/AAAAAAAAVe4/D3C9qEWcDjA/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q5mdHtPNsOQ/VLYk12iHslI/AAAAAAAAVfA/BroyIcsfs74/s640/3.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
Jana tarehe 13/01/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake wa Taifa Dr. Jakaya Mrisho...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTtVrSwsWgEuoDx8WXdW29yp5eShuikYPZWQLcvjly3xiuc5p8thirjFhZ1BBqs-s*7SFydgGOfTZp15P5M3Wjnp/IMG_5275.jpg?width=650)
NAPE AYATAJA MAAZIMIO KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KILICHOFANYIKA JANA MJINI UNGUJA
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Majaliwa aitisha kikao cha kazi cha Baraza la Mawaziri
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama wakati alipomkaribisha kuzungumza katika kikao cha kwanza cha baraza la kazi la Mwaziri, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15,2015. (Picha na Ofisi ya...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU, MAJALIWA AITISHA KIKAO CHA KAZI CHA BARAZA LA MAWAZIRI LEO
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-R5XjpaarlVc/VC_Mr9kNtyI/AAAAAAAGnto/dsSJ-t_nHQc/s1600/u2.jpg)
JK ATEMBELEA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA UDOM, AFUNGA KIKAO KAZI CHA VIONGOZI DODOMA
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Rais Kikwete kuwa Mgeni rasmi katika Kikao cha kazi cha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Msingi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Hawa A. Ghasia akiwakaribisha wajumbe wa Kikao kazi cha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Msingi kinachofanyika katika ukumbi wa Chimwaga, Chuo Kikuu cha Dodoma kuanzia tarehe 01-03 Oktoba, 2014. Lengo la kikao hicho ni kuainisha Mafanikio na Changamoto katika utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa katika Sekta ya Elimu.
Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI kwa kushirikiana na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo wameandaa kikao cha kazi kuhusu...
10 years ago
VijimamboAfrican Development Center of Minnesota has hosted a very important meeting yesterday led by Senior U.S. Senator Amy Klobuchar and the leadership from Minnesota African Task Force Against Ebola