Nahodha wa SpringBoks astaafu
Nahodha wa kikosi cha mpira wa Raga nchini Afrika Kusini Jean de Villiers amestaafu katika raga ya kimataifa baada ya kuambiwa kwamba hatoweza kucheza tena katika mechi za kombe la dunia kutokana na jeraha la taya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBC02 Sep
Springboks 'free to fly' to World Cup
A legal attempt to block the South African team flying to the UK to play in the Rugby World Cup in a row over alleged racial discrimination fails.
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DCI MNGULU ASTAAFU
Aliekuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu. Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amestaafu leo baada ya kufikia kikomo cha umri kisheria (zaidi ya miaka 60). Kwa sasa nafasi yake amekaimu, Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya. Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa… ...
10 years ago
BBCSwahili30 May
Rio Ferdinand astaafu
Aliyekuwa mlinzi wa timu ya Uingereza na Klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand amestaafu kucheza kandanda ya kulipwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilpHD8fCwMjI1gG8*ChWU4LWkrW2xsJ*xxYmOLkz2QgE1vHjEx4VYpBtZO8UuMZ2C4TBVl1SXepk60q2gQh94WSs/LI.jpg)
MCHEZAJI TENISI LI NA ASTAAFU
Li Na. MCHEZAJI wa kwanza wa tenisi nchini China kushinda mashindano ya Grand Slam, Li Na, amestaafu kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya muda mrefu. Li, mwenye umri wa miaka 32 ambaye ni staa namba 6 kwa mchezo huo duniani, alisema kuwa anaondoka katika mashindano ya tenisi kwa sababu ya majeraha ya muda mrefu, hasa kwenye magoti yake. Alishinda Grand Slams mara mbili - Frenc Open mwaka 2011 na Australian Open mwaka huu....
10 years ago
Habarileo20 Sep
CAG Utouh astaafu
ALIYEKUWA Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh ameagwa rasmi baada ya kustaafu wadhifa huo alioutumikia kwa miaka minane huku akilishukuru Bunge kwa kumpa ushirikiano wakati wa utumishi wake.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Song astaafu soka ya kimataifa
Mchezaji wa Cameroon West Ham Alex Song amestaafu kucheza soka ya kimataifa baada ya kujumuishwa katika kikosi cha timu ya taifa
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Xavi Hernandez astaafu soka
Kiungo wa Barcelona na Spain Xavi Hernandez ametangaza kustaafu soka la kimataifa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania