Li Na astaafu tenisi
Mchezaji nambari moja wa Tennis nchini China LI Na amestaafu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilpHD8fCwMjI1gG8*ChWU4LWkrW2xsJ*xxYmOLkz2QgE1vHjEx4VYpBtZO8UuMZ2C4TBVl1SXepk60q2gQh94WSs/LI.jpg)
MCHEZAJI TENISI LI NA ASTAAFU
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Nahodha wa SpringBoks astaafu
10 years ago
BBCSwahili30 May
Rio Ferdinand astaafu
10 years ago
Habarileo20 Sep
CAG Utouh astaafu
ALIYEKUWA Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh ameagwa rasmi baada ya kustaafu wadhifa huo alioutumikia kwa miaka minane huku akilishukuru Bunge kwa kumpa ushirikiano wakati wa utumishi wake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DCI MNGULU ASTAAFU
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Ukata waikumba tenisi
TIMU ya Taifa ya Tenisi Walemavu imewaomba wadau mbalimbali kuwasaidia kiasi cha Dola za Marekani 1500 kwa ajili ya kushiriki michuano ya wazi ya Kenya (Kenya Open) inayotarajia kufanyika mwezi huu nchini humo.
Akizungumza na gazeti hili jana, Kocha wa timu hiyo Riziki Salum alisema wanataka kushiriki michuano hiyo ili waweze kutetea ubingwa wao walioupata mwaka jana.
Salum alisema mashindano hayo yatakuwa ya wiki moja na wanatakiwa kujigharamia kwa kila kitu kwa muda wote...
10 years ago
Vijimambo19 Nov
Kibadeni astaafu rasmi ukocha
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/kibadeni-November19-2013.jpg)
Akizungumza na NIPASHE jijini Dar es Salaam jana, Kibadeni mwenye rekodi pekee ya kufunga mabao matatu katika mechi moja (hat-trick) inayohusisha watani wa jadi, Simba na Yanga, alisema amechukua uamuzi wa kuachana na ukocha ili kuepuka malumbano na kuzongwa na viongozi...
9 years ago
BBCSwahili24 Dec
Robin Soderling astaafu tenesi
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Song astaafu soka ya kimataifa