Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukata waikumba tenisi

TIMU ya  Taifa ya  Tenisi Walemavu imewaomba wadau mbalimbali kuwasaidia kiasi cha  Dola za Marekani 1500 kwa ajili ya kushiriki michuano ya wazi ya Kenya (Kenya Open) inayotarajia kufanyika mwezi huu nchini humo.

Akizungumza na gazeti hili jana, Kocha wa timu hiyo Riziki Salum alisema wanataka kushiriki michuano hiyo ili waweze kutetea ubingwa wao walioupata mwaka jana.

Salum alisema mashindano hayo yatakuwa  ya wiki moja na wanatakiwa kujigharamia  kwa kila kitu kwa muda wote...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ukata wa fedha waikumba TCDF

Mfuko wa Maendeleo ya Kahawa Tanzania (TCDF) unakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa fedha ili kuuwezesha kutekeleza majukumu yake 14.

 

11 years ago

Mwananchi

Timu Taifa Tenisi walia ukata

>Timu ya Taifa ya Tenisi kwa walemavu inayojiandaa na kusaka kufuzu kwa mashindano ya dunia tenisi inafanya maandalizi kwenye mazingira magumu baada ya kukosa fedha na udhamini.

 

9 years ago

Mtanzania

Uhaba wa damu waikumba Mount Meru

blood20Na Mwandishi Wetu, Arusha

HOSPITALI ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu salama  kwa ajili ya kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji  damu hospitalini hapo.

Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mganga Mkuu wa Hospital ya Mkoa wa Arusha, Dk. Frida Mokiti,  alipokuwa akizungumza katika kikao cha Kamati ya Maafa  ya Mkoa, ambapo alisema hospitali hiyo inahitaji uniti 1560 za damu salama, waka  akiba ya damu salama iliyopo ni uniti 40 .

Kutokana na upungufu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Li Na astaafu tenisi

Mchezaji nambari moja wa Tennis nchini China LI Na amestaafu

 

10 years ago

GPL

MCHEZAJI TENISI LI NA ASTAAFU

Li Na. MCHEZAJI wa kwanza wa tenisi nchini China kushinda mashindano ya Grand Slam, Li Na, amestaafu kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya muda mrefu. Li, mwenye umri wa miaka 32 ambaye ni staa namba 6 kwa mchezo huo duniani, alisema kuwa anaondoka katika mashindano ya tenisi kwa sababu ya majeraha ya muda mrefu, hasa kwenye magoti yake. Alishinda Grand Slams mara mbili - Frenc Open mwaka 2011 na Australian Open mwaka huu....

 

9 years ago

Habarileo

Tenisi walemavu waomba msaada

TIMU ya taifa ya tenisi kwa upande wa walemavu, imewataka wadau mbalimbali kuwaunga mkono na kuwasaidia vifaa vya michezo waweze kutimiza malengo yao ya kufanya vizuri katika michuano mbalimbali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Michuano ya tenisi kuanza Agosti 31

Kwenye Tenisi Serena williams asema ajiandaa kucheza bila mashabiki na kutajia kuweka ushindi

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa tenisi wawasili Tanzania

Tanzania mwenyeji wa michuano ya tenisi ya wazi kwa nchi za ukanda wa Afrika ya Mashariki.

 

11 years ago

Mwananchi

ITF yaibeba tenisi ya Tanzania

Shirikisho la Tenisi la Kimataifa (ITF) limetoa nafasi moja ya upendeleo kwa mchezaji wa Tanzania kushiriki kwenye mashindano ya Tenisi ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 18 yaliyopangwa kufanyika mapema Machi katika nchi mbili tofauti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani