Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ITF yaibeba tenisi ya Tanzania

Shirikisho la Tenisi la Kimataifa (ITF) limetoa nafasi moja ya upendeleo kwa mchezaji wa Tanzania kushiriki kwenye mashindano ya Tenisi ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 18 yaliyopangwa kufanyika mapema Machi katika nchi mbili tofauti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

JKT Mbweni yaibeba Tanzania

Wawakilishi pekee wa Tanzania waliosalia katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki, JKT Mbweni sasa wataivaa Prisons ya Uganda katika nusu fainali itakayofanyika kesho kwenye Uwanja wa Taifa.

 

11 years ago

TheCitizen

Tanzania upstages Kenya at ITF tourney

>Tanzanian top seeds Emmanuel Mallya and Tumaini Martin continued their rich vein of form after advancing to the second round of the International Tennis Federation (ITF)/CAT 18 and-under championship at Nairobi Club yesterday.

 

11 years ago

TheCitizen

Arusha boys win Tanzania ITF/CAT glory

>Tanzanian Tumaini Martin braved the scorching sun to clinch the ITF/CAT East African Junior Championship trophy at the Dar Gymkhana Club courts yesterday.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa tenisi wawasili Tanzania

Tanzania mwenyeji wa michuano ya tenisi ya wazi kwa nchi za ukanda wa Afrika ya Mashariki.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yaanza vyema tenisi

Tanzania jana ilianza vizuri mashindano ya vijana ya Afrika Mashariki na Kati baada ya wachezaji wake Mernad Frank na , Emmanuel Mallay kushinda katika michezo yao ya jana kwenye Viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yataja kikosi cha tenisi .

Kwa mujibu wa viongozi wa chama cha tennis Tanzania (TTA), ushiriki wao utaleta tija katika maendeleo ya mchezo huo nchini.

 

10 years ago

TheCitizen

Dar es Salaam. Tanzania finished overall winners at the ITF/CAT East and Central Africa Tennis Junior Championship, which ended on Sunday at the Dar es Salaam Gymkhana Club (DGC).

Dar es Salaam. Tanzania finished  overall winners at the ITF/CAT East and Central Africa Tennis Junior Championship, which ended on Sunday at the Dar es Salaam Gymkhana Club (DGC).

 

11 years ago

Mwananchi

NSSF yaibeba Yanga

Wachezaji wa Yanga wameipiga bao Simba baada ya kupata dili la nyumba kutoka Shirika la Hifadhi ya Jamii NSSF.

 

9 years ago

Mwananchi

Kilimanjaro Stars yaibeba Ethiopia

Waswahili husema, bahati haizuiliwi. Ethiopia imeambulia sare kwa bao la kujifunga la beki wa Kilimanjaro Stars, Salim Mbonde, dakika ya 90, ambalo lilitosha kuivushja timu hiyo kama mshindwa bora namba mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani