Kilimanjaro Stars yaibeba Ethiopia
Waswahili husema, bahati haizuiliwi. Ethiopia imeambulia sare kwa bao la kujifunga la beki wa Kilimanjaro Stars, Salim Mbonde, dakika ya 90, ambalo lilitosha kuivushja timu hiyo kama mshindwa bora namba mbili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMEGATRADE INVESTIMENT LTD YAIBEBA POLISI KILIMANJARO
9 years ago
Habarileo28 Nov
Kili Stars, Ethiopia leo
TIMU ya Kilimanjaro Stars leo inashuka dimbani kucheza na wenyeji Ethiopia katika mchezo utakaofanyika Awassa. Tayari timu hiyo imefuzu kucheza robo fainali, lakini ushindi kwao ni muhimu ili kumaliza hatua ya makundi bila ya kufungwa mchezo hata mmoja.
9 years ago
TheCitizen29 Nov
Kili Stars and Ethiopia set another clash
9 years ago
Habarileo11 Nov
Kili Stars yapangwa na Ethiopia, Zambia Chalenji
TIMU ya soka ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ imepangwa kundi moja na wenyeji Ethiopia pamoja na Zambia katika michuano ya Chalenji mwaka huu.
9 years ago
Habarileo29 Nov
Stars kuivaa Ethiopia robo fainali Chalenji
TIMU ya soka Taia ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ itacheza na Ethiopia katika robo fainali ya Kombe la Chalenji kesho.
9 years ago
TheCitizen30 Nov
Kili Stars all out to thump hosts Ethiopia today
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Kili Stars bora iliyoacha simulizi Ethiopia
9 years ago
Habarileo02 Dec
Kilimanjaro Stars warejea kapa
TIMU ya Kilimanjaro Stars inatarajia kurejea leo nchini baada ya kutolewa katika robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji. Msemaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema jana kuwa, timu hiyo itatua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere saa saba mchama.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Kilimanjaro Stars ya Tz kurejea leo