Kilimanjaro Stars ya Tz kurejea leo
Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kinatarajiwa kuwasili leo mchana jijini Dar es salaam
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Taifa Stars kurejea leo toka Uturuki
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zpCBVBd3U2U/VkMdP5nwhgI/AAAAAAAIFSw/9QHi-bYCpqw/s72-c/eden8.png)
TAIFA STARS KUREJEA NCHINI LEO, YATARI KWA MTANANGE DHIDI YA MBWEHA WA JANGWANI JUMAMOSI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-zpCBVBd3U2U/VkMdP5nwhgI/AAAAAAAIFSw/9QHi-bYCpqw/s640/eden8.png)
Stars iliyokuwa imeweka kambi nchini Afrika Kusini kwa takribani siku 10, inarejea nyumbani ikiwa imefanya mazoezi vizuri kujiandaa na kuwakabili Mbweha wa Jangwani Algeria siku ya Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Akiongelea kuhusu kambi kocha wa...
9 years ago
Habarileo24 Nov
Kilimanjaro Stars karata muhimu leo
TIMU ya soka ya Taifa ya Bara, Kilimanjaro Stars leo itarusha karata yake ya pili kwenye michuano ya Kombe la Chalenji itakapomenyana na Rwanda ‘Amavubi’ mjini Awassa, Ethiopia.
9 years ago
Habarileo30 Nov
Karata muhimu kwa Kilimanjaro Stars leo
TIMU ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kili Stars’ leo inashuka kwenye dimba la Awassa nchini Ethiopia kuwakabili wenyeji Ethiopia ukiwa ni mchezo wa robo fainali wa kusakata tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano ya Chalenji, inayoendelea nchini humo.
10 years ago
MichuziHALI YA HEWA YA ZAMANI YAANZA KUREJEA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Stars kurejea Dar kesho
WAKATI timu ya taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, ikitarajiwa kurejea jijini Dar es Salaam kesho ikitokea kambini jijini Mbeya, wachezaji wana matumaini makubwa ya kuvuka kikwazo cha Msumbiji...
11 years ago
MichuziTAIFA STARS KUREJEA NCHINI KESHO MCHANA KUTOKA NAMIBIA
Taifa Stars ambayo katika mechi hiyo dhidi ya Namibia (Brave Warriors) ilitoka sare ya bao 1-1 itatua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 8.15 mchana kwa ndege ya South Africa Airways.
Timu inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager baada ya kuwasili itakwenda hoteli ya Accomondia kwa ajili...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Simba kurejea Dar leo
TIMU ya Simba inatarajia kuwasili jijini Dar es Salaam leo, ikitokea Bukoba, Kagera kucheza mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar, mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba, juzi....