Stars kurejea Dar kesho
WAKATI timu ya taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, ikitarajiwa kurejea jijini Dar es Salaam kesho ikitokea kambini jijini Mbeya, wachezaji wana matumaini makubwa ya kuvuka kikwazo cha Msumbiji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTAIFA STARS KUREJEA NCHINI KESHO MCHANA KUTOKA NAMIBIA
Taifa Stars ambayo katika mechi hiyo dhidi ya Namibia (Brave Warriors) ilitoka sare ya bao 1-1 itatua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 8.15 mchana kwa ndege ya South Africa Airways.
Timu inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager baada ya kuwasili itakwenda hoteli ya Accomondia kwa ajili...
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Kilimanjaro Stars ya Tz kurejea leo
Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kinatarajiwa kuwasili leo mchana jijini Dar es salaam
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Taifa Stars kurejea leo toka Uturuki
Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars kurejea kutoka Uturuki walikokuwa wamepiga kambi
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zpCBVBd3U2U/VkMdP5nwhgI/AAAAAAAIFSw/9QHi-bYCpqw/s72-c/eden8.png)
TAIFA STARS KUREJEA NCHINI LEO, YATARI KWA MTANANGE DHIDI YA MBWEHA WA JANGWANI JUMAMOSI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-zpCBVBd3U2U/VkMdP5nwhgI/AAAAAAAIFSw/9QHi-bYCpqw/s640/eden8.png)
Stars iliyokuwa imeweka kambi nchini Afrika Kusini kwa takribani siku 10, inarejea nyumbani ikiwa imefanya mazoezi vizuri kujiandaa na kuwakabili Mbweha wa Jangwani Algeria siku ya Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Akiongelea kuhusu kambi kocha wa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Simba kurejea Dar leo
TIMU ya Simba inatarajia kuwasili jijini Dar es Salaam leo, ikitokea Bukoba, Kagera kucheza mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar, mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba, juzi....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhzHrPAhNcvHhpmBnVGcgGKxrvWMbJtloJwfsngrbgOQB7t*HkPln2dtUzu0FBJP5ICGr9NpzimKrBAn0RaK8FwA/DARLIVE.jpg?width=650)
KESHO NDIYO KESHO DAR LIVE
BONANZA LA JOGGING & BREAKING NEWS… KESHO ndiyo kesho! Bonanza la Jogging na Global Breaking News 15778 linachukua nafasi kwa kukutanisha michezo ya jogging, mpira wa miguu, netiboli, kuvuta kamba, bao la kete, drafti, karate na mingine mingi. Â
Bonanza hilo la bure litafanyika kwa kuanza na mbio za jogging zitakazoanzia katika Uwanja wa Taifa hadi Uwanja wa Mbagala-Zakhem kutakapofanyika baadhi ya michezo huku...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aXiLWSwafn8/VWQ0uvKOomI/AAAAAAAA-QM/kgcqCR8NS1U/s72-c/TFF%2BLOGO.jpg)
STARS KUINGIA KAMBINI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-aXiLWSwafn8/VWQ0uvKOomI/AAAAAAAA-QM/kgcqCR8NS1U/s320/TFF%2BLOGO.jpg)
Kocha Mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij, amewaita wachezaji 16 kuingia kambini kesho siku ya jumatano kwa ajili ya kupimwa afya zao na kujua maandeleo yao kabla ya kuwajumisha katika kikosi cha pamoja kitakachokua kwenye maandalizi ya mchezo dhidi ya Misri.
Wachezaji walioitwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnhfKoRwY8Y/VXmODyGVTUI/AAAAAAAHers/tB6q3UDP_5s/s72-c/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
STARS KUWAFUATA MISRI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnhfKoRwY8Y/VXmODyGVTUI/AAAAAAAHers/tB6q3UDP_5s/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
Stars ambayo imeweka kambi ya mazoezi takribani kwa wiki moja sasa jijini Addis Ababa leo imeendelea na raiba yake ya mazoezi katika uwanja wa Taifa, amabpo leo imefanya mazoezi yake asububuhi tu.
Kocha mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij amesema, anashukuru maendeleo ya kambi ni...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania