Karata muhimu kwa Kilimanjaro Stars leo
TIMU ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kili Stars’ leo inashuka kwenye dimba la Awassa nchini Ethiopia kuwakabili wenyeji Ethiopia ukiwa ni mchezo wa robo fainali wa kusakata tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano ya Chalenji, inayoendelea nchini humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo24 Nov
Kilimanjaro Stars karata muhimu leo
TIMU ya soka ya Taifa ya Bara, Kilimanjaro Stars leo itarusha karata yake ya pili kwenye michuano ya Kombe la Chalenji itakapomenyana na Rwanda ‘Amavubi’ mjini Awassa, Ethiopia.
9 years ago
Habarileo09 Sep
Twiga Stars karata muhimu leo
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars leo ina kibarua kigumu katika mechi dhidi ya Nigeria kwenye Michezo ya Afrika inayoendelea nchini Congo Brazzaville.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Stars yatupa karata muhimu leo
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, leo inatupa karata muhimu ya kuwang’oa Zimbabwe katika vita ya kuwania tiketi ya fainali za Kombe la Mataifa Afrika za mwakani nchini Morocco....
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Stella Jairosi: Uchaguzi huu ni ‘karata’ muhimu ya kunusuru elimu
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Kilimanjaro Stars ya Tz kurejea leo
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Taifa Stars yatupa karata ya mwisho
WAKATI timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars ikitupa karata ya mwisho kuwania tiketi ya kucheza hatua ya makundi ya kampeni za fainali za Kombe la Mataifa Afrika mwakani nchini...
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Hongera Kilimanjaro Stars kwa soka safi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QqYE5VWKMro/VYq7RWzevgI/AAAAAAAHjbE/z0pBzaCvXM4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
KILIMANJARO V YAZINDULIWA LEO ZANZIBAR TAYARI KWA SAFRI ZA DAR ES SALAAM NA UNGUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-QqYE5VWKMro/VYq7RWzevgI/AAAAAAAHjbE/z0pBzaCvXM4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sgNKGRa1vaA/VYq7RsMlJCI/AAAAAAAHjbI/7dqQRtYfqJc/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JUSoQOqS8B0/VYq7RgKR9qI/AAAAAAAHjbQ/ribQAj8ncr8/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
Habarileo02 Dec
Kilimanjaro Stars warejea kapa
TIMU ya Kilimanjaro Stars inatarajia kurejea leo nchini baada ya kutolewa katika robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji. Msemaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema jana kuwa, timu hiyo itatua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere saa saba mchama.