Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilimanjaro Stars warejea kapa

TIMU ya Kilimanjaro Stars inatarajia kurejea leo nchini baada ya kutolewa katika robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji. Msemaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema jana kuwa, timu hiyo itatua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere saa saba mchama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Sunday Oliseh atoka kapa kwa Mkwasa

Sunday-OlisehNA BADI MCHOLO, DAR ES SALAAM

KOCHA wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, anawaumiza vichwa wapinzani wake, timu ya Nigeria ‘Super Eagles’ baada ya kupata ugumu wa kushindwa kuelewa falsafa ya kocha huyo mzawa, badala yake wamebaki kutumia muda mwingi kuangalia video za michezo ya zamani.

Kocha wa Nigeria, Sunday Oliseh, licha ya kuwa katika nafasi nzuri ya pili katika kundi G linaloundwa na timu za Misri, Chad na Taifa Stars, amekuwa akikesha kuangalia video za Stars na...

 

9 years ago

Mwananchi

Kilimanjaro Stars yaibeba Ethiopia

Waswahili husema, bahati haizuiliwi. Ethiopia imeambulia sare kwa bao la kujifunga la beki wa Kilimanjaro Stars, Salim Mbonde, dakika ya 90, ambalo lilitosha kuivushja timu hiyo kama mshindwa bora namba mbili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kilimanjaro Stars ya Tz kurejea leo

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kinatarajiwa kuwasili leo mchana jijini Dar es salaam

 

9 years ago

BBCSwahili

Kilimanjaro stars yachanja mbuga Cecafa.

Michuanao ya Cecafa Chalenji Cup Imeendelea tena hapo kwa michezo miwili katika hatua ya makundi.

 

9 years ago

Habarileo

Kilimanjaro Stars karata muhimu leo

TIMU ya soka ya Taifa ya Bara, Kilimanjaro Stars leo itarusha karata yake ya pili kwenye michuano ya Kombe la Chalenji itakapomenyana na Rwanda ‘Amavubi’ mjini Awassa, Ethiopia.

 

9 years ago

Habarileo

Karata muhimu kwa Kilimanjaro Stars leo

TIMU ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kili Stars’ leo inashuka kwenye dimba la Awassa nchini Ethiopia kuwakabili wenyeji Ethiopia ukiwa ni mchezo wa robo fainali wa kusakata tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano ya Chalenji, inayoendelea nchini humo.

 

9 years ago

Michuzi

KOCHA KIBADENI KUANZA KUINOA KILIMANJARO STARS

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha mkuu wa timu wa Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Star’ akisaidiwa na Juma Mgunda kuelekea katika michuano ya CECAFA Chelenji itakayoanza kutimua vumbi Novemba 21 mjii Addis Ababa, Ethiopia.
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi zingine zinazoshiriki michuano hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Hongera Kilimanjaro Stars kwa soka safi

Michuano ya soka ya kuwania Kombe la Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati ilimalizika Alhamisi iliyopita jijini Nairobi Kenya.

 

9 years ago

Michuzi

KIKOSI CHA TIMU YA KILIMANJARO STARS KUREJE KESHO


KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kinatarajiwa kuwasili kesho mchana jijini Dar ess alaam kikitokea nchini Ethiopia kilipokuwa kinashiriki michuano ya Kombe la Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati.

Kilimanjaro Stars imetolewa katika hatua ya robo fainali na wenyeji Ethiopia kwa mikwaju ya penati, baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika dakika 90 za mchezo huo, na wenyeji kushinda kwa penati 4-3.

Timu ya Kilimanjaro Stars inayonolewa na kocha Abdallah...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani