Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sunday Oliseh atoka kapa kwa Mkwasa

Sunday-OlisehNA BADI MCHOLO, DAR ES SALAAM

KOCHA wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, anawaumiza vichwa wapinzani wake, timu ya Nigeria ‘Super Eagles’ baada ya kupata ugumu wa kushindwa kuelewa falsafa ya kocha huyo mzawa, badala yake wamebaki kutumia muda mwingi kuangalia video za michezo ya zamani.

Kocha wa Nigeria, Sunday Oliseh, licha ya kuwa katika nafasi nzuri ya pili katika kundi G linaloundwa na timu za Misri, Chad na Taifa Stars, amekuwa akikesha kuangalia video za Stars na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sunday Oliseh kuinoa Super Eagles

Timu ya Taifa ya Nigeria Super Eagles imempa kibarua cha ukocha kiungo na nahodha wake wa zamani Sunday Oliseh

 

10 years ago

BBCSwahili

Sunday Oliseh ndiye kocha mpya wa Nigeria

Nigeria imemchagua aliyekuwa mchezaji wa Nigeria Sunday Oliseh kama kocha mpya wa Nigeria.

 

9 years ago

Habarileo

Kilimanjaro Stars warejea kapa

TIMU ya Kilimanjaro Stars inatarajia kurejea leo nchini baada ya kutolewa katika robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji. Msemaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema jana kuwa, timu hiyo itatua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere saa saba mchama.

 

10 years ago

Mwananchi

Chid Benz atoka kwa dhamana

Msanii wa muziki wa hip hop nchini, Rashid Abdallah Makwaro ‘Chid Benz’ (29) ameachiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam baada ya kukamilisha masharti aliyopewa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mdee atoka jela kwa mbwembwe

HATIMAYE Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake nane wametoka gerezani baada ya kukamilisha masharti ya dhamana. Juzi Mdee na...

 

10 years ago

Mwananchi

Gwajima atoka hospitali, aachiwa kwa dhamana

>Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ameruhusiwa kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa na baadaye kuachiwa na polisi kwa dhamana isiyokuwa na masharti.

 

10 years ago

Habarileo

Tutalipa kisasi kwa Azam-Mkwasa

KOCHA Msaidizi wa Yanga Charles Mkwasa amesema kuna uwezekano mkubwa wa kushinda katika mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Azam FC ikiwa watafanya maandalizi mazuri.

 

10 years ago

Mwananchi

MTAZAMO: TFF inataka mafanikio ya mkato kwa Mkwasa

Hakuna mtoto wa waziri anayecheza soka, hakuna mtoto wa mwanasheria anayecheza soka. Soka inachezwa na watu wanaotoka kwenye familia ambazo hazina maisha mazuri na hilo ndiyo daraja la kuelekea maisha mazuri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani