Sunday Oliseh atoka kapa kwa Mkwasa
NA BADI MCHOLO, DAR ES SALAAM
KOCHA wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, anawaumiza vichwa wapinzani wake, timu ya Nigeria ‘Super Eagles’ baada ya kupata ugumu wa kushindwa kuelewa falsafa ya kocha huyo mzawa, badala yake wamebaki kutumia muda mwingi kuangalia video za michezo ya zamani.
Kocha wa Nigeria, Sunday Oliseh, licha ya kuwa katika nafasi nzuri ya pili katika kundi G linaloundwa na timu za Misri, Chad na Taifa Stars, amekuwa akikesha kuangalia video za Stars na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Sunday Oliseh kuinoa Super Eagles
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Sunday Oliseh ndiye kocha mpya wa Nigeria
9 years ago
Habarileo02 Dec
Kilimanjaro Stars warejea kapa
TIMU ya Kilimanjaro Stars inatarajia kurejea leo nchini baada ya kutolewa katika robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji. Msemaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema jana kuwa, timu hiyo itatua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere saa saba mchama.
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Chid Benz atoka kwa dhamana
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Mdee atoka jela kwa mbwembwe
HATIMAYE Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake nane wametoka gerezani baada ya kukamilisha masharti ya dhamana. Juzi Mdee na...
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Gwajima atoka hospitali, aachiwa kwa dhamana
10 years ago
Habarileo05 Aug
Tutalipa kisasi kwa Azam-Mkwasa
KOCHA Msaidizi wa Yanga Charles Mkwasa amesema kuna uwezekano mkubwa wa kushinda katika mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Azam FC ikiwa watafanya maandalizi mazuri.
10 years ago
GPL02 Sep
10 years ago
Mwananchi29 Jun
MTAZAMO: TFF inataka mafanikio ya mkato kwa Mkwasa