Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTAZAMO: TFF inataka mafanikio ya mkato kwa Mkwasa

Hakuna mtoto wa waziri anayecheza soka, hakuna mtoto wa mwanasheria anayecheza soka. Soka inachezwa na watu wanaotoka kwenye familia ambazo hazina maisha mazuri na hilo ndiyo daraja la kuelekea maisha mazuri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

NANCY : Hakuna njia ya Mkato katika mafanikio

Hakuna njia rahisi kufikia mafanikio Kuelekea uchaguzi mkuu, Tanzania imeshuhudia mabadiliko mbalimbali kisiasa, kijamii na hata kiuchumi. Hadhi ya mwanamke katika nyanja hizo zote, imeonekana wazi kupanda tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma.

 

10 years ago

Bongo5

Unataka kufanikiwa? Hakuna njia ya mkato katika mafanikio

Je huu ni ukweli kwamba hakuna njia ya mkato kuelekea mafanikio? Inawezekana unasema ‘Awali hujui mambo yanayoendelea na utabakia hivyo hivyo’. Kuna kitu nimeendelea kujifunza kwa watu matajiri wanaochipukia kwenye Forbes magazine na kwingineko. Siku chache zilizopita katika Kongamano fulani ambako Mjasiriamali wa Kenya Julian Kyula na Heshan De Silva waliongea kutokana na uzoefu na […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yampongeza Mkwasa

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetuma salamu za pongezi kwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa ‘Master’ kwa kupata nafasi ya kuwa msaidizi wa Mholanzi Hans van Pluijm katika...

 

9 years ago

Raia Mwema

Mkwasa ametuma salamu TFF

KAMA ulikuwa miongoni mwa watazamaji Jumamosi ya wiki iliyopita katika Uwanja wa Taifa jijini Dar

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Habarileo

TFF yamtaka Mkwasa kusuka, kunyoa

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limemtaka kocha wa muda wa timu ya taifa Taifa Stars Charles Mkwasa kufanya maamuzi kama atabaki kuwa kwenye timu hiyo ama Yanga. TFF ilimpa Mkwasa nafasi ya kuwa kocha wa muda wa Stars baada ya kumfuta kazi Mart Nooij Julai mwaka huu.

 

9 years ago

TheCitizen

Kudos to the TFF, but Mkwasa shouldn’t relax

It has been said time and again that local coaches are equally as good as their foreign counterparts. In fact, they are even better than their hyped and highly paid colleagues.

 

5 years ago

Michuzi

TFF WAFURAHIA MAFANIKIO YA LINGALANGALA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamiihirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) limempongeza Mjumbe wa Shirikisho hilo na Mjumbe wa Kudumu wa Yanga Dkt Tobias Lingalangala kwa kutunukiwa shahada ya uzamivu   (PHD- Doctorate in Humanity) mwishoni mwa wiki hii.

Lingalangala ametunukiwa kutoka Chuo cga LeadImpact cha Nchini Marekani baada ya kuonesha mchango wake mkubwa kwa jamii.

Akizungumza kwa niaba ya Rais wa TFF,Makamu wa Rais Stephen Mguto amesema wamefurahi sana kuona moja ya mdau wakubwa wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kwa nini Scotland inataka kujitenga?

Kura ya maoni inaonyesha ushindani ni mkali kati ya wanaotaka muungano kuvunjwa na wanaotaka muungano kusalia.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AZUNGUMZIA MAFANIKIO YA UONGOZI WAKE NDANI YA SIKU 100

 Rais wa shirikisho la Mpira wa miguu nchini TFF Ndugu Jamal Malinzi katikati akizungungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam leo juu ya mafanikio ya uongozi wake kwa siku mia moja toka waingie madarakani, Kulia ni Afisa habari wa TFF Bonifas Wambura na kushoto ni Mshauri wa ufundi Bwana Rutayunga Peregenus  Pichani ni baadhi ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakifuatilia mkutano huo uliofanyika leo ndani ya moja ya ukumbi wa hotel ya Kempisk Hyatt Regence...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani