RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AZUNGUMZIA MAFANIKIO YA UONGOZI WAKE NDANI YA SIKU 100
![](http://4.bp.blogspot.com/-vf94BMWWPyA/UvShtRVzV5I/AAAAAAAFLkE/PpIjzxM6Gcw/s72-c/1.jpg)
Rais wa shirikisho la Mpira wa miguu nchini TFF Ndugu Jamal Malinzi katikati akizungungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam leo juu ya mafanikio ya uongozi wake kwa siku mia moja toka waingie madarakani, Kulia ni Afisa habari wa TFF Bonifas Wambura na kushoto ni Mshauri wa ufundi Bwana Rutayunga Peregenus
Pichani ni baadhi ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakifuatilia mkutano huo uliofanyika leo ndani ya moja ya ukumbi wa hotel ya Kempisk Hyatt Regence...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s72-c/Aa1.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AMSHUKURU LEODGER TENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s640/Aa1.jpg)
Aidha Malinzi ameishukuru Kamati ya Ndani ya Uendeshaji ya Michuano hiyo (LOC) kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa na kuhakikisha michuano hiyo inafanyika na kumalizika katika hali ya usalama na amani. ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YTihLkMqT4s/U8aOgD46ueI/AAAAAAAF2zg/PVqSMz7sxeU/s72-c/download+(1).jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AANDAA FUTARI KWA WADAU
![](http://2.bp.blogspot.com/-YTihLkMqT4s/U8aOgD46ueI/AAAAAAAF2zg/PVqSMz7sxeU/s1600/download+(1).jpg)
Waalikwa katika futari hiyo wametoka katika makundi mbalimbali. Makundi hayo ni wadhamini, klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza za Dar es Salaam ambazo zitawakilishwa na watu wawili wawili.
Viongozi wa zamani wa TFF, Said El...
11 years ago
Michuzi10 Apr
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI ATUA BUKOBA LEO HII
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0qh4c4EO7yqYLO*YjMidfUeoPxVSnMviuoJ0dZ-Q*sQeZP4LR2wA3ZNEMd4XB-RkfNXb3ulrjul8qK*lYTE2d9I/1MALINZI.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA FIFA USWISS
10 years ago
Michuzi24 Jan
RAIS WA TFF JAMAL EMIL MALINZI ATEMBELEA UWANJA WA KAITABA MJINI BUKOBA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s72-c/arsfinal.png)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI LEO AFUNGA FAINALI ZA MICHUANO YA KOMBE LA AIRTEL RISING STARS
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s640/arsfinal.png)
10 years ago
Dewji Blog29 Dec
Rais wa TFF Jamal Malinzi apokea jezi kutoka kampuni ya Proin kwaajili ya mashindano ya Women Taifa Cup
Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza (kushoto) akimkabidhi Jezi Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Jamal Malinzi kwaajili ya Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa Women Cup yanayotarajiwa kutimbua vumbi tarehe 1 January 2015.
Na Josephat Lukaza – Lukaza Blog
Mkurugenzi wa makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza amkabidhi jezi Rais wa TFF, Mh Jamal Malinzi kwaajili ya michuano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TDepYmmdNws/U37_hznbcnI/AAAAAAAFkmo/E0ekHlsg5Fo/s72-c/s.jpg)
RAIS WA TFF,JAMAL MALIZI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA FIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TDepYmmdNws/U37_hznbcnI/AAAAAAAFkmo/E0ekHlsg5Fo/s1600/s.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3jRce-XJBdw/U37_i_9NzWI/AAAAAAAFkms/fwU5AMZJHno/s1600/bukobasports.jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Jamal Malinzi aipongeza Azam