RAIS WA TFF JAMAL MALINZI ATUA BUKOBA LEO HII
Mwenyekiti wa chama cha mpira wa Miguu Mkoa wa Kagera (KRFA) Jamal Emil Malinzi amewasili leo Alhamis tarehe 10-4-2014 saa nne asubuhi katika Uwanja wa ndege wa Bukoba Mjini na kupokelewa na Wadau wengi, Huku ikiwa ni mara ya kwanza tangu achaguliwe Rais wa TFF.
Bw. Jamal Malinzi baada ya kutua amezungumza na Viongozi wa Soka Mkoani hapa Kagera na baadae kuhudhulia Kikao cha kamati Tendaji ya KRFA na siku inayofuata utakuwepo mkutano mkuu wa KRFA.
Kulia ni Bw. Pelegrinius .A. Rutayuga,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi24 Jan
RAIS WA TFF JAMAL EMIL MALINZI ATEMBELEA UWANJA WA KAITABA MJINI BUKOBA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s72-c/arsfinal.png)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI LEO AFUNGA FAINALI ZA MICHUANO YA KOMBE LA AIRTEL RISING STARS
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s640/arsfinal.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s72-c/Aa1.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AMSHUKURU LEODGER TENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s640/Aa1.jpg)
Aidha Malinzi ameishukuru Kamati ya Ndani ya Uendeshaji ya Michuano hiyo (LOC) kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa na kuhakikisha michuano hiyo inafanyika na kumalizika katika hali ya usalama na amani. ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YTihLkMqT4s/U8aOgD46ueI/AAAAAAAF2zg/PVqSMz7sxeU/s72-c/download+(1).jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AANDAA FUTARI KWA WADAU
![](http://2.bp.blogspot.com/-YTihLkMqT4s/U8aOgD46ueI/AAAAAAAF2zg/PVqSMz7sxeU/s1600/download+(1).jpg)
Waalikwa katika futari hiyo wametoka katika makundi mbalimbali. Makundi hayo ni wadhamini, klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza za Dar es Salaam ambazo zitawakilishwa na watu wawili wawili.
Viongozi wa zamani wa TFF, Said El...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0qh4c4EO7yqYLO*YjMidfUeoPxVSnMviuoJ0dZ-Q*sQeZP4LR2wA3ZNEMd4XB-RkfNXb3ulrjul8qK*lYTE2d9I/1MALINZI.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA FIFA USWISS
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vf94BMWWPyA/UvShtRVzV5I/AAAAAAAFLkE/PpIjzxM6Gcw/s72-c/1.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AZUNGUMZIA MAFANIKIO YA UONGOZI WAKE NDANI YA SIKU 100
![](http://4.bp.blogspot.com/-vf94BMWWPyA/UvShtRVzV5I/AAAAAAAFLkE/PpIjzxM6Gcw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mqH8cO_r5-E/UvShuO0mmKI/AAAAAAAFLkQ/mOVeacd_guE/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Dec
Rais wa TFF Jamal Malinzi apokea jezi kutoka kampuni ya Proin kwaajili ya mashindano ya Women Taifa Cup
Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza (kushoto) akimkabidhi Jezi Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Jamal Malinzi kwaajili ya Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa Women Cup yanayotarajiwa kutimbua vumbi tarehe 1 January 2015.
Na Josephat Lukaza – Lukaza Blog
Mkurugenzi wa makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza amkabidhi jezi Rais wa TFF, Mh Jamal Malinzi kwaajili ya michuano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa...
11 years ago
Michuzi13 Apr
MKUTANO WA KRFA WAFANA MJINI BUKOBA, JAMAL EMIL MALINZI KUENDELEA KUWA MWENYEKITI KRFA
Chama cha mpira wa miguu Mkoa wa Kagera (KRFA) kimefanya mkutano mkuu wa kawaida kwenye ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Kagera na Mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa wilaya ya Missenye Kanal Issa Njiku.
Awali akisoma taarifa yake mwenyekiti wa KRFA ambae pia ni Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi aliwashukuru wajumbe wote wa mkutano mkuu kwa namna walivyoshiriki kwa namna tofauti katika kuendeleza michezo katika wilaya zote za Mkoa wa Kagera,Hotuba iliyosheheni mipango kedekede...
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Malinzi; hii sumu isipenyezwe TFF