MKUTANO WA KRFA WAFANA MJINI BUKOBA, JAMAL EMIL MALINZI KUENDELEA KUWA MWENYEKITI KRFA
Na Faustine Ruta, Bukoba
Chama cha mpira wa miguu Mkoa wa Kagera (KRFA) kimefanya mkutano mkuu wa kawaida kwenye ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Kagera na Mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa wilaya ya Missenye Kanal Issa Njiku.
Awali akisoma taarifa yake mwenyekiti wa KRFA ambae pia ni Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi aliwashukuru wajumbe wote wa mkutano mkuu kwa namna walivyoshiriki kwa namna tofauti katika kuendeleza michezo katika wilaya zote za Mkoa wa Kagera,Hotuba iliyosheheni mipango kedekede...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi24 Jan
RAIS WA TFF JAMAL EMIL MALINZI ATEMBELEA UWANJA WA KAITABA MJINI BUKOBA
11 years ago
Michuzi10 Apr
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI ATUA BUKOBA LEO HII
10 years ago
Vijimambo25 Jan
Malinzi atembelea Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Jamal Malinzi aipongeza Azam
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-z-gBv9H4sGE/VXMLZ7Mb7vI/AAAAAAADqTs/c8iU8eRCgz0/s72-c/1.jpg)
MKUTANO WA KINANA BUKOBA MJINI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-z-gBv9H4sGE/VXMLZ7Mb7vI/AAAAAAADqTs/c8iU8eRCgz0/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CeMI3ftJ9f0/VXMLZodxptI/AAAAAAADqTo/yJB1m3K79Ns/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ne7kYz2pvKY/VXMLZ749NNI/AAAAAAADqT0/b-JPWZSkDFc/s640/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s72-c/Aa1.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AMSHUKURU LEODGER TENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s640/Aa1.jpg)
Aidha Malinzi ameishukuru Kamati ya Ndani ya Uendeshaji ya Michuano hiyo (LOC) kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa na kuhakikisha michuano hiyo inafanyika na kumalizika katika hali ya usalama na amani. ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YTihLkMqT4s/U8aOgD46ueI/AAAAAAAF2zg/PVqSMz7sxeU/s72-c/download+(1).jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AANDAA FUTARI KWA WADAU
![](http://2.bp.blogspot.com/-YTihLkMqT4s/U8aOgD46ueI/AAAAAAAF2zg/PVqSMz7sxeU/s1600/download+(1).jpg)
Waalikwa katika futari hiyo wametoka katika makundi mbalimbali. Makundi hayo ni wadhamini, klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza za Dar es Salaam ambazo zitawakilishwa na watu wawili wawili.
Viongozi wa zamani wa TFF, Said El...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XTSk-ajmAa8/VFlstdwVOhI/AAAAAAADMY0/C-K-5h5naF8/s72-c/20141102_155724.jpeg)
EMIL MUTTA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI UCHAGUZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA SETTLE, WA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XTSk-ajmAa8/VFlstdwVOhI/AAAAAAADMY0/C-K-5h5naF8/s1600/20141102_155724.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tRL7frlrWkI/VFlsueUg0mI/AAAAAAADMZI/OTvoLQxQdmk/s1600/20141102_162729.jpeg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0qh4c4EO7yqYLO*YjMidfUeoPxVSnMviuoJ0dZ-Q*sQeZP4LR2wA3ZNEMd4XB-RkfNXb3ulrjul8qK*lYTE2d9I/1MALINZI.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA FIFA USWISS