Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EMIL MUTTA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI UCHAGUZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA SETTLE, WA

Wagombea nafasi ya Mwenyekiti Jumuiya ya Watanzania Seattle jimbo la Washington Emil Mutta na Fatma Tamim wakijinadi na kujibu maswali mbalimbali kutoka kwa wapiga kura wao siku ya Jumapili Novemba 2, 2014 siku ulipofanyika uchaguzi wa Mwenyekiti na Emil Mutta kushinda kwa asilimia 72 kwa wapiga kura 184 waliojitokeza kati ya jumla ya Watanzania waishio jimbo hilo wanaokadiriwa kufikia 600.Joshua Gwakisa(aliyesimama) akiuliza swali kwa Wagombea wenyekiti (hawapo pichani) siku ya uchaguzi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA

 Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano  mkuu wa chadema Wakicheza kwa furaha muda mfupi baada ya matokeo ya Uchaguzi kwenye Mkutano Mkuu Kutangazwa Usiku huu Freeman Mbowe akiwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA  kwa kumchagua tena kushika nafasi ya mwenyekiti Mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipongezwa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Makamu  Mwenyekiti wa Chadema Bara Profesa Abdallah Safari(Kulia)na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe wakipungia kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

UCHAGUZI WA NAFASI YA MWENYEKITI.

Kwa niaba ya jumuiya ya tanzaseattle na jumuiya ya watanzania wote hapa Washington state mimi...Ndugu A.Dola(Public Relation Officer)ninawataarifu kua kutakuwa na uchaguzi ya nafasi ya uwenyekiti wa chama chetu...
Nafasi hizo mbili kwa sasa zana gombaniwa na Ndugu..Emil muta na Ndugu Fatma al Tamim.Ikumbukwe ya kwamba haya ni MARUDIO sababu katika duru la kwanza uliofanyika tarehe 21sept 20214 wagombania wote walipata kura sawa,nafasi ya wagombea wengine wote walipita bila kupigwa majina wao...

 

11 years ago

Michuzi

SERA ZA HARRIET SHANGARAI MGOMBEA UMAKAMU MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV

Na Hariet Shangaei Washington DC  Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV. Hariet Shangarai, Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV alipikuwa katika kampeni. (Photo Via Swahilivillablog)
Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya watanzania waishio Thailand wamchagua Bw. Maumba Mgaya kuwa Mwenyekiti wa TIT

Meza Kuu , Kutoka Kushoto ni Ndugu Maumba Mgaya, Mwenyekiti wa Jumuiya, Bi Magreth Mjindo na Ndugu Andrew Katibu

Meza Kuu , Kutoka Kushoto ni Ndugu Maumba Mgaya, Mwenyekiti wa Jumuiya, Bi Magreth Mjindo na Ndugu Andrew Katibu.

Mnano tarehe 7/11/2015, Jumuiya ya watanzania waishio nchini Thailand ilikutana na kujadiliana mambo mbalimbali ya jinsi gani wanaweza kusaidiana katika mambo mbalimbali, TIT ilianzishwa mnano mwezi wa nne mwaka, 2015 na inahusisha watanzania mbalimbali, wanafunzi,wafanyabishara na wafanyakazi waishio na kufanya nchini Thailand. Mkutano mkuu wa Jumuiya ulifanyika katika Hoteli...

 

11 years ago

Michuzi

HARRIET SHANGARAI: MGOMBEA WA NAFASI YA MAKAMU WA RAIS WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV ANAOMBA KURA YAKO

Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV.HARRIET SHANGARAI
Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia, nimekuwa muhamasishaji wa misaada ya elimu,chakula mavazi na malazi kwa watoto yatima. Kwa ufupi  nimeona mafanikio ya kina, japo bado wahitaji ni wengi.Vile vile,...

 

9 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.


Tunapenda kuwataarifu kuwa tarehe 10 September Viongozi wa jumuiyatulifanya kikao na walezi wetu(Mabalozi)hapo ubalozini kujadili namnabora ya kuhitimisha muda wetu wa Uongozi.Kikao hicho kiliazimia mamboyafuatayo :A)Kuitisha mkutano Mkuu wa jumuiya hapo tarehe 5 Disemba 2015 ambaopamoja na mambo mengine utachagua Bodi ya Wadhamini wa jumuiya ambayoitasimamia uchaguzi ujao wa Viongozi.B) Kwa mara nyingine tena kikao hiki kilimridhia Mchungaji Mama Butikuaombewe Rasmi kuongozwa Kamati ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi (CCM) Singida amewahimiza wanaCCM kushiriki uchaguzi wa serikali ya mitaa

DSC07641

Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi (CCM) mkoa wa Singida, Yusuph Mwandami (wa kwanza kushoto) akiingia kwenye viwanja vya shule ya msingi kijiji cha Manguamitogho manispaa ya Singida, kwa ajili ya kuhutubia wana CCM na wananchi wa manispaa ya Singida kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya wazazi kimkoa.Wa pili kushoto ni mchumi wa manispaa ya Singida, Mollel.

DSC07646

Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi (CCM) mkoa wa Singida, Yusuph Mwandami, akipanda mti ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA KRFA WAFANA MJINI BUKOBA, JAMAL EMIL MALINZI KUENDELEA KUWA MWENYEKITI KRFA

Na Faustine Ruta, Bukoba
Chama cha mpira wa miguu Mkoa wa Kagera (KRFA) kimefanya mkutano mkuu wa kawaida kwenye ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Kagera na Mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa wilaya ya Missenye Kanal Issa Njiku. 
Awali akisoma taarifa yake mwenyekiti wa KRFA ambae pia ni Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi aliwashukuru wajumbe wote wa mkutano mkuu kwa namna walivyoshiriki kwa namna tofauti katika kuendeleza michezo katika wilaya zote za Mkoa wa Kagera,Hotuba iliyosheheni mipango kedekede...

 

10 years ago

Vijimambo

UCHAGUZI WA VIONGOZI UMOJA WA WATANZANIA NORTH CAROLINA UTNC 2014, ANNA SIMTAJI MMANYWA NDIYE MWENYEKITI MPYA

Uchaguzi wa viongozi uliofanyika Jumamosi Novemba 1, 2014 na kuwachagua viongozi wapya wa jumuiya ya Watanzania North Carolina ambako aliyekua mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Geofrey Lipana alimaliza muda wake na kumkabidhi kiti Anna Simtaji Mmanywa ambaye atasaidiana na viongozi wenzake waliochaguliwa. Katika uchaguzi huo,  kura zilipigwa kwa wazi na kuandika historia mpya kwenye jimbo hilo la North Carolina. 
Mbali na Anna Simtaji Mmanywa viongozi wengine waliochaguliwa ni Katibu ni Mshobozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani