Jumuiya ya watanzania waishio Thailand wamchagua Bw. Maumba Mgaya kuwa Mwenyekiti wa TIT
Meza Kuu , Kutoka Kushoto ni Ndugu Maumba Mgaya, Mwenyekiti wa Jumuiya, Bi Magreth Mjindo na Ndugu Andrew Katibu.
Mnano tarehe 7/11/2015, Jumuiya ya watanzania waishio nchini Thailand ilikutana na kujadiliana mambo mbalimbali ya jinsi gani wanaweza kusaidiana katika mambo mbalimbali, TIT ilianzishwa mnano mwezi wa nne mwaka, 2015 na inahusisha watanzania mbalimbali, wanafunzi,wafanyabishara na wafanyakazi waishio na kufanya nchini Thailand. Mkutano mkuu wa Jumuiya ulifanyika katika Hoteli...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi03 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/LDSK36cNu-M/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s72-c/images.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA HOUSTON: MH. BALOZI LIBERATA MULAMULA KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE YA KUSIMIKA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s1600/images.jpg)
Mheshimiwa Balozi wa Tanzania hapa US na Mexico, Mh.Liberata Mulamula ndiye atakaekuwa mgeni rasmi wa tukio hili la kihistoria katika jumuiya yetu ya Houston. Wote mnakaribishwa ili tusherekee na tuweke...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MmqlyopQW0w/U1bLyEib1zI/AAAAAAAFcZQ/lPxVNDdXf8E/s72-c/unnamed+(50).jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA WAISHIO GENEVA-USWISI (TAS) WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XTSk-ajmAa8/VFlstdwVOhI/AAAAAAADMY0/C-K-5h5naF8/s72-c/20141102_155724.jpeg)
EMIL MUTTA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI UCHAGUZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA SETTLE, WA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XTSk-ajmAa8/VFlstdwVOhI/AAAAAAADMY0/C-K-5h5naF8/s1600/20141102_155724.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tRL7frlrWkI/VFlsueUg0mI/AAAAAAADMZI/OTvoLQxQdmk/s1600/20141102_162729.jpeg)
11 years ago
MichuziSERA ZA HARRIET SHANGARAI MGOMBEA UMAKAMU MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV
Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia,...
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iMOTCLDUKeE/VFc_N0nbQ0I/AAAAAAAGvM8/OHob-J-H71M/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
Wabunge Bunge la SADC wamchagua Mh. Makinda kuwa Rais mpya wa Bunge hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iMOTCLDUKeE/VFc_N0nbQ0I/AAAAAAAGvM8/OHob-J-H71M/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qhzB6g8qpxo/VFc_L1If9tI/AAAAAAAGvMo/1uS6w7Hl_-8/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CneLcA4uUac/VFc_MeY1BMI/AAAAAAAGvMs/GftZGY0yGEI/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
10 years ago
Michuzi12 May
HARAMBEE YA Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Canada (ZANCANA) YAFANA
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t34.0-12/11100651_10155511526635247_944224250_n.jpg?oh=8e6a4a704534266740676492772875b8&oe=55542DAC)