HARAMBEE YA Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Canada (ZANCANA) YAFANA
Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Canada (ZANCANA), imechangisha zaidi ya Dola 1500 za Canada kwa ajili ya waathirika wa hali ya hewa nchini Tanzania.Wanajumuiya ya ZANCANA wakipata picha ya pamoja baada ya ibada ya dua maalum ya kuwaombea walioathirika na mvua za masika, nchini TanzaniaKatika taarifa yake ambayo Swahilivilla imeipata nakala yake, Zancana imesema kwamba mnamo tarehe 9 Mei, 2015, jumuiya hiyo iliandaa mkutano maalum wa wanachama wake katika jiji la Toronto nchini Canada....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 May
HARAMBEE YA ZANCANA YAFANA
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t34.0-12/11100651_10155511526635247_944224250_n.jpg?oh=8e6a4a704534266740676492772875b8&oe=55542DAC)
Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Canada (ZANCANA), imechangisha zaidi ya Dola 1500 za Canada kwa ajili ya waathirika wa hali ya hewa nchini Tanzania.Katika taarifa yake ambayo Swahilivilla imeipata nakala yake, Zancana imesema kwamba mnamo tarehe 9 Mei, 2015, jumuiya hiyo iliandaa mkutano maalum wa wanachama wake katika jiji la Toronto nchini Canada....
9 years ago
Michuzi10 Dec
Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Marekani (ZADIA) yaandaa maandamano jijini new york
![](https://scontent-iad3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/12341184_10156253055685247_3836503281131219805_n.jpg?oh=132135cd9c47ef24a4e38b11130f59ba&oe=56D86FFA)
10 years ago
VijimamboHARAMBEE NA CHAKULA CHA JIONI JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ALBANY, NEW YORK YAFANA SANA.
Esther Brown kutoka Uganda mmoja katika uongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ya Albany, New York akitoa utambulisho kwa viongozi wa Jumuiya hiyo katika sherehe ya harambe ya chakula cha jioni ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya Albany jimbo la New York, Jumuiya ikiwa inajumuisha nchi tano ambazo ni Rwanda, Burundi, Tanzania, Uganda na Kenya.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Hsmntcqx0Jo/VYNJwbFaRQI/AAAAAAADsMw/zQlhJTYOBds/s72-c/ramadhan.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7jMj1236NlI/VdIp7rdJLSI/AAAAAAAB5Fw/zRjpeQGz0Kg/s72-c/IMG_20150815_093325.jpg)
JUMUIYA YA QAMER YA CANADA PAMOJA NA JUMUIYA YA TAQWA TANZANIA YATOA MISAADA PEMBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-7jMj1236NlI/VdIp7rdJLSI/AAAAAAAB5Fw/zRjpeQGz0Kg/s640/IMG_20150815_093325.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q23o8mq1FiQ/VdIp6gE7g6I/AAAAAAAB5Fo/JnHwvMrAdI0/s640/IMG_20150815_094006.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FcbuOjWm6yo/VdIp76DBd0I/AAAAAAAB5F0/U2x83IGvQTk/s640/IMG_20150815_095637.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Jumuiya ya Qamer ya Canada pamoja na Jumuiya ya Taqwa Tanzania yatoa misaada Pemba
Vitanda mbali mbali vya Hospitali vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, kwa ajili ya Hospitali Kisiwani Pemba kabla ya kukabidhiwa kwa uongozi wa Wizara ya Afya Pemba.(Picha zote na Hanifa Salum, PEMBA.)
Maboksi mbali mbali yenye madawa kwa ajili ya Hospitali pamoja na mikoba ya Watoto mayatima, vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, mikoba kwa aajili ya...
10 years ago
VijimamboJUMUIYA YA WAISLAM WAISHIO DC,MARYLAND, VIRGINIA NCHINI MAREKANI (TAMCO) WALIVYO ADHIMISHA TAMCO FAMILY DAY
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fR3vK4S-maU/VUu5euE6pwI/AAAAAAABuH0/Mdd5HxJ7prE/s72-c/8%2BMwekiti%2Bwa%2BJumuia%2Bya%2BWaznzibari%2BScandinavia%2Bndugu%2BIdarus%2B%2BA%2BSharif%2Bakifunguwa%2Bmkutano%2Bwa%2Bmwaka%2B%2Bwa%2BJumuiya.jpg)
MKUTANO MKUU WA MWAKA WA JUMUIYA YA WAZANZIBARI SCANDINAVIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-fR3vK4S-maU/VUu5euE6pwI/AAAAAAABuH0/Mdd5HxJ7prE/s640/8%2BMwekiti%2Bwa%2BJumuia%2Bya%2BWaznzibari%2BScandinavia%2Bndugu%2BIdarus%2B%2BA%2BSharif%2Bakifunguwa%2Bmkutano%2Bwa%2Bmwaka%2B%2Bwa%2BJumuiya.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qu4VZ4R77fU/VUu5oIdWZhI/AAAAAAABuH8/19B8BKAqdio/s640/7%2BMjumbe%2Bmaalum%2Bndugu%2BMussa%2BBauchawa%2Bjumuiya%2BGoZanzibar%2B(%2B%2BGerman)%2Bakitoa%2Bmaeleze%2B%2Bkuhusu%2Butekelezaji%2Bwa%2Bmiradi%2Bna%2Bmikakati%2Bmbali%2Bya%2B%2Bjumuiya%2Bhiyo%2Bkwa%2Bzanzibar.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-niX8VtEXgKQ/VUu6g2HbtdI/AAAAAAABuJU/w3uuU4pccqU/s640/1%2BPicha%2Bya%2Bpamoja%2Bya%2Bwana%2BJumuiya%2BScandinavia%2Bna%2BUjumbe%2B%2Bkutoka%2BOfisi%2Bya%2BRais%2BIkulu%2BZanzibar%2Bna%2BOfisa%2Bwa%2BUbalozi%2Bwa%2BTanzania%2B%2BSweden..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RRYtqWGCeoA/VUu5qdqPJuI/AAAAAAABuIE/02cUl3rEPf8/s640/Bw.Jakob%2BMsekwa%2B%2BOfisa%2Bwa%2BUbalozi%2Bwa%2BTanzania%2BSweden.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kXmSsu4QSl4/Xt1LFMlLquI/AAAAAAALs84/thfrRBkcyTwdrLRdo7Mt5hIkUDAmdDQvgCLcBGAsYHQ/s72-c/k1.png)
HARAMBEE KUCHANGIA MIUNDOMBINIU YA SHULE YA MSINGI KASHATO MKOANI KATAVI YAFANA
Harambee ya kuchangia maendeleo ya miundombinu kwa Shule ya Msingi Kashato iliyopo Kata ya Makanyagio Halmashauri ya Manispaa ya Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi imeanza na tayari Diwani wa Kata hiyo Mhe. Haidari Sumri ameanza kwa vitendo kuonesha njia.
Kwa kutambua umuhimu wa elimu, Diwani Sumri amekabidhi mchango wake wa matofali 3,000 yenye thamani ya Shilingi Milioni 4 ili kuongeza miundombinu katika Shule hiyo iliyoanzishwa Mwaka 1963.
Shule ya Kashato...