ZANCANA FROM CANADA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hsmntcqx0Jo/VYNJwbFaRQI/AAAAAAADsMw/zQlhJTYOBds/s72-c/ramadhan.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 May
HARAMBEE YA Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Canada (ZANCANA) YAFANA
Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Canada (ZANCANA), imechangisha zaidi ya Dola 1500 za Canada kwa ajili ya waathirika wa hali ya hewa nchini Tanzania.
Wanajumuiya ya ZANCANA wakipata picha ya pamoja baada ya ibada ya dua maalum ya kuwaombea walioathirika na mvua za masika, nchini TanzaniaKatika taarifa yake ambayo Swahilivilla imeipata nakala yake, Zancana imesema kwamba mnamo tarehe 9 Mei, 2015, jumuiya hiyo iliandaa mkutano maalum wa wanachama wake katika jiji la Toronto nchini Canada....
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t34.0-12/11100651_10155511526635247_944224250_n.jpg?oh=8e6a4a704534266740676492772875b8&oe=55542DAC)
10 years ago
Vijimambo13 May
HARAMBEE YA ZANCANA YAFANA
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t34.0-12/11100651_10155511526635247_944224250_n.jpg?oh=8e6a4a704534266740676492772875b8&oe=55542DAC)
Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Canada (ZANCANA), imechangisha zaidi ya Dola 1500 za Canada kwa ajili ya waathirika wa hali ya hewa nchini Tanzania.Katika taarifa yake ambayo Swahilivilla imeipata nakala yake, Zancana imesema kwamba mnamo tarehe 9 Mei, 2015, jumuiya hiyo iliandaa mkutano maalum wa wanachama wake katika jiji la Toronto nchini Canada....
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Canada kukabiliana na IS
Nchi ya Canada imekuwa nchi ya hivi karibuni kuungana na majeshi yanayokabiliana na wapiganaji wa Islamic State IS nchini Iraq.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNU6XGSgOOjKNoKeLlAm4VGwpvUpZPDLV--VuPQC1XMrrN*xXmuNJE-o5UBqcMy2IkofTKJyAh9qCOS9gR2kjwPt/_78463771_78463770.jpg?width=650)
MWANAJESHI WA CANADA AUAWA
Mapigano yalianzia sehemu hii ya kumbukumbu ya vita tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi nchini Canada. Mwanajeshi ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa katika tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi, ambapo mji huo mkuu upo chini ya ulinzi mkali wa Polisi na wanajeshi.…
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Canada yatangaza fursa ya soko
>Waziri wa Biashara za Kimataifa wa Canada, Ed Fast amewataka Watanzania kupeleka bidhaa mbalimbali nchini humo ili kutumia fursa za kibiashara zinazotokana na ushirikiano uliopo.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79582000/jpg/_79582217_tahrir.jpg)
Canada closes embassy in Cairo
The Canadian embassy in Cairo is closed due to "security concerns", a day after Britain shut its mission in the Egyptian capital.
11 years ago
Habarileo24 Jul
Canada kusaidia miradi ya umemejua
SERIKALI ya Canada imeeleza kuwa itaisaidia Tanzania katika kutekeleza miradi ya umeme wa jua.
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Maonyesho ya miale ya kipekee Canada
Mpiga picha wa Korea amepiga picha hizi za mwangaza unaotokana na miale ya sumaku na jua nchini Canada
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Wanandoa wa Canada kuchunguzwa China
Mamlaka za China zimewatuhumu wana ndoa raia wa Canada wanaofanya biashara ya mgahawa nchini humo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania