Canada kukabiliana na IS
Nchi ya Canada imekuwa nchi ya hivi karibuni kuungana na majeshi yanayokabiliana na wapiganaji wa Islamic State IS nchini Iraq.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
GPL
MWANAJESHI WA CANADA AUAWA
Mapigano yalianzia sehemu hii ya kumbukumbu ya vita tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi nchini Canada. Mwanajeshi ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa katika tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi, ambapo mji huo mkuu upo chini ya ulinzi mkali wa Polisi na wanajeshi.…
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Misikiti ya Canada na US yakabiliwa na tishio
Misikiti nchini Marekani na Canada inakabiliwa na ongezeko la uharibifu na vitisho tangu shambulio la Paris.
11 years ago
BBCSwahili23 Oct
Canada yakumbwa na shambulio la Kigaidi
Mwanajeshi mmoja ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa.
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wakimbizi wa Syria wawasili Canada
Ndege ya kwanza ya kijeshi iliyowabeba wakimbizi kutoka Syria ambao wamepewa hifadhi nchini Canada imetua katika mji mkuu Toronto
11 years ago
BBCSwahili14 Aug
Canada yatoa Chanjo ya Ebola
Canada imesema itatoa dozi 1,000 za chanjo ya majaribio ya Ebola ili kusaidia kupigana na mlipuko wa ugonjwa huo Afrika magharibi.
11 years ago
BBC
Canada to give WHO Ebola vaccine
Canada says it will donate up to 1,000 doses of an experimental Ebola vaccine to help battle the disease's outbreak in West Africa.
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Wanandoa wa Canada kuchunguzwa China
Mamlaka za China zimewatuhumu wana ndoa raia wa Canada wanaofanya biashara ya mgahawa nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Maonyesho ya miale ya kipekee Canada
Mpiga picha wa Korea amepiga picha hizi za mwangaza unaotokana na miale ya sumaku na jua nchini Canada
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania