Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maonyesho ya miale ya kipekee Canada

Mpiga picha wa Korea amepiga picha hizi za mwangaza unaotokana na miale ya sumaku na jua nchini Canada

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

India, Ufaransa, Marekani, Canada zaomboleza kipekee

India imekuwa nchi ya kwanza kuomboleza kwa siku nyingi msiba wa Madiba

 

9 years ago

Michuzi

MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YAFANA SANA JIJINI MONTREAL, CANADA

Maonyesho ya 27 ya Kimataifa ya Utalii ambayo yamedumu kwa siku tatu mfululizo katika jiji la Montreal nchini Canada yafana sana. Ubalozi wa Tanzania, Ottawa nchini Canada ulikuwa ni mmoja wa washiriki kati ya washiriki waonyeshaji 400 walioalikwa na sekta ya utalii ambayo ndiyo muandaaji rasmi wa maonesho hayo.
Maonyesho hayo ambayo yamefanyika katika mahali maarufu  la “la Place Bonaventure” katika jiji la hilo, ambalo liko upande wa Mashariki mwa Canada, eneo ambalo wengi wa wakazi wake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege inayotumia miale ya jua yatatizika

Safari ya mwisho ya ndege ya kwanza inayotumia nishati ya miale ya jua kupaa angani, imetatizika kutokana na hali mbaya ya hewa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MIALE SANAA GROUP: Wakali wanaokuja sokoni na ‘990 Wamekufa’

KUTOKANA na maisha kuwa na changamoto nyingi kwa sasa, vijana wengi wameanza kutafuta njia mbadala katika kuingiza kipato cha kukabiliana na ugumu wa changamoto hizo za maisha. Moja ya fani...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je miale ya jua inauwa virusi hivi hatari?

Shirika la Afya Duniani WHO linasema kwamba kukaa juani ama katika sehemu zenye joto jingi la zaidi ya nyuzi 25 hakuzuii kupata maambukizi ya virusi vya corona

 

10 years ago

BBCSwahili

Suala la wakimbizi litatuliwe kipekee

Federica Mogherini ametahadharisha kwamba tatizo la uhamiaji ni kubwa na linahitaji utatuzi wa kipekee.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tanzania yapata maabara ya kipekee

Tanzania imepata maabara inayoweza kuhamishwa kutoka eneo moja hadi jingine ambayo itasaidia kukabiliana na maradhi ya mlipuko kama vile Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Njia ya uzazi wa mpango ya kipekee

wanaume nchini Tanzania wameamua kuwahama wake zao kama njia mbadala ya kupanga uzazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Papa Francis na uongozi wa kipekee

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis ametimiza mwaka mmoja tangu alipochaguliwa kushika wadhifa huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani