Maonyesho ya miale ya kipekee Canada
Mpiga picha wa Korea amepiga picha hizi za mwangaza unaotokana na miale ya sumaku na jua nchini Canada
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Dec
India, Ufaransa, Marekani, Canada zaomboleza kipekee
India imekuwa nchi ya kwanza kuomboleza kwa siku nyingi msiba wa Madiba
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mWD_Ddtuaoo/VkC7JPCgSMI/AAAAAAAIFDk/ptHZpaftZJM/s72-c/Untitled1.png)
MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YAFANA SANA JIJINI MONTREAL, CANADA
Maonyesho ya 27 ya Kimataifa ya Utalii ambayo yamedumu kwa siku tatu mfululizo katika jiji la Montreal nchini Canada yafana sana. Ubalozi wa Tanzania, Ottawa nchini Canada ulikuwa ni mmoja wa washiriki kati ya washiriki waonyeshaji 400 walioalikwa na sekta ya utalii ambayo ndiyo muandaaji rasmi wa maonesho hayo.
Maonyesho hayo ambayo yamefanyika katika mahali maarufu la “la Place Bonaventure” katika jiji la hilo, ambalo liko upande wa Mashariki mwa Canada, eneo ambalo wengi wa wakazi wake...
Maonyesho hayo ambayo yamefanyika katika mahali maarufu la “la Place Bonaventure” katika jiji la hilo, ambalo liko upande wa Mashariki mwa Canada, eneo ambalo wengi wa wakazi wake...
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Ndege inayotumia miale ya jua yatatizika
Safari ya mwisho ya ndege ya kwanza inayotumia nishati ya miale ya jua kupaa angani, imetatizika kutokana na hali mbaya ya hewa.
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
MIALE SANAA GROUP: Wakali wanaokuja sokoni na ‘990 Wamekufa’
KUTOKANA na maisha kuwa na changamoto nyingi kwa sasa, vijana wengi wameanza kutafuta njia mbadala katika kuingiza kipato cha kukabiliana na ugumu wa changamoto hizo za maisha. Moja ya fani...
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Je miale ya jua inauwa virusi hivi hatari?
Shirika la Afya Duniani WHO linasema kwamba kukaa juani ama katika sehemu zenye joto jingi la zaidi ya nyuzi 25 hakuzuii kupata maambukizi ya virusi vya corona
10 years ago
BBCSwahili12 May
Suala la wakimbizi litatuliwe kipekee
Federica Mogherini ametahadharisha kwamba tatizo la uhamiaji ni kubwa na linahitaji utatuzi wa kipekee.
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Tanzania yapata maabara ya kipekee
Tanzania imepata maabara inayoweza kuhamishwa kutoka eneo moja hadi jingine ambayo itasaidia kukabiliana na maradhi ya mlipuko kama vile Ebola.
10 years ago
BBCSwahili08 May
Njia ya uzazi wa mpango ya kipekee
wanaume nchini Tanzania wameamua kuwahama wake zao kama njia mbadala ya kupanga uzazi.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Papa Francis na uongozi wa kipekee
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis ametimiza mwaka mmoja tangu alipochaguliwa kushika wadhifa huo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania