Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIALE SANAA GROUP: Wakali wanaokuja sokoni na ‘990 Wamekufa’

KUTOKANA na maisha kuwa na changamoto nyingi kwa sasa, vijana wengi wameanza kutafuta njia mbadala katika kuingiza kipato cha kukabiliana na ugumu wa changamoto hizo za maisha. Moja ya fani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UTANDAWAZI GROUP KUNOGESHA TAMASHA LA SANAA BAGAMOYO

NA ANDREW CHALE, BAGAMOYO
KUNDI maalufu la ngoma asili la Utandawazi Theater Group ‘Matwigachallo’ jioni ya kesho wanatarajiwa kuwasha moto wa aina yake kwenye tamasha la Kimataifa la 33 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, lililoanza Septemba 22 mwaka huu kwenye viunga vya chuo hicho.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa tamasha hilo, Abmic am Bafadhil ‘Bura’ alieleza kuwa, kundi hilo ambalo kwa sasa limejizolea umaalufu mkubwa ndani na nje ya Tanzania, linatarajiwa kutoa burudani ya ngoma za asili...

 

10 years ago

Bongo Movies

Moja ya zao Kaole Sanaa Group, Limekua Tunaliona!!

Mrembo na mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu”ni moja kati ya waigizaji wachache wa hapa bongo ambao wamekulia na kuijua sanaa ya kuigiza toka akiwa binti mdogo.

Shukrani na sifa zote ziwaendee Kaole Sanaa Group ambao ndio waliomlea kisanaa na kumpa nafasi kuonyesha uwezo wake na kufanya watanzania wengi kumfahamu tangu akiwa mtoto mdogo.

Mbali na mambo yake mengi lakini ukweli ni kwamba Lulu leo amekuwa hapo alipo kwa sababu ya uwezo wake tofauti na waigizaji wengi wakike ambao walipata...

 

9 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA KIRUMBA SANAA GROUP JIJINI MWANZA AUNGANA NA KAMPENI YA "PIGA KURA, EPUKA KULA".

Pichani ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Maigizo cha Kirumba Sanaa Group kilichopo Jijini Mwanza Katumba Khalid Maduwa akiwa na Kitambulisho chake cha Kupigia Kura.
Maduwa ambae pia ni Mshereheshaji (Mc Katumba) na Mtangazaji wa 99.4 Radio Metro Fm, ameungana na Binagi Media Group katika Kampeni yake ya Kuwahamasisha Watanzania waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura kujitokeza kwa wingi katika kuwachagua viongozi bora wa kuwatumikia na si bora viongozi ambao wakati mwingine huchaguliwa...

 

10 years ago

GPL

Naibu Waziri Mhe. January Makamba azindua Kundi la Kaone Sanaa Group Dar Live

Naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia .Mhe. January Makamba azindua Kundi la Kaone Sanaa Group Dar Live usiku huu. hapa akiwa katika picha ya pamoja baada ya uzindua. Wasanii wa Kaolewakiwa stejini…

 

10 years ago

GPL

WASANII WAKONGWE WAPANIA KUFANYA KUFURU KATIKA UZINDUZI WA KAONE SANAA GROUP NDANI YA DAR LIVE

Mastaa waliokuwa wakiunda kundi la zamani la Kaole wakiongea na wanahabari (hawapo pichani) jinsi walivyopania kufanya kweli kwenye uzinduzi wa kundi lao jipya la Kaone, Boxing Day ndani ya Dar Live. Muhogo Mchungu akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni msanii…

 

11 years ago

BBCSwahili

Maonyesho ya miale ya kipekee Canada

Mpiga picha wa Korea amepiga picha hizi za mwangaza unaotokana na miale ya sumaku na jua nchini Canada

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege inayotumia miale ya jua yatatizika

Safari ya mwisho ya ndege ya kwanza inayotumia nishati ya miale ya jua kupaa angani, imetatizika kutokana na hali mbaya ya hewa.

 

11 years ago

GPL

Kazimoto apiga dakika 990 Qatar

Mwinyi Kazimoto. Na Mwandishi Wetu
KIUNGO nyota wa Al Markhiya inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Qatar, Mwinyi Kazimoto ameweka rekodi ya kucheza mechi 11 zote kwa dakika 90. Kazimoto aliyetokea Simba na kujiunga na Al Markhiya, ameweka rekodi hiyo baada ya kupiga mechi hizo 11, kimahesabu, amepiga dakika 990. Kutokana na mwendo huo, Kazimoto ameisaidia timu yake kushinda mechi tatu mfululizo na sasa iko katika nafasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani